Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar es Salaam. Msanii wa filamu, Wastara Juma amerejea nchini leo akitokea Mumbay nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu ya mgongo na mguu na kuwashukuru Watanzania kwa namna walivyojitokeza kumchangia fedha za matibabu, ingawa hazikutosha na kulazimika kuuza baadhi ya mali zake.
View attachment 703149
Akizungumza na MCL Digital leo Machi 1, 2018 nyumbani kwake Tabata ikiwa ni saa chache baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, amesema baada ya kufika hospitali alikutwa na matatizo mengine zaidi ya aliyokuwa nayo jambo lililosababisha gharama za matibabu kuwa kubwa.
Wastara alifanikiwa kwenda kwenye matibabu hayo, Februari 3, 2018 baada ya kupata michango kutoka kwa watu mbalimbali akiwemo Rais John Magufuli aliyemchangia Sh15 milioni.
Amebainisha kuwa matatizo aliyokutwa nayo ni pamoja na uvimbe chini ya kalio na kwamba, ndilo lilikuwa sababu ya kukaukiwa damu pamoja na kubainika kuwa na uvimbe kichwani uliotokana na kupata ajali zaidi ya mara tatu.
“Kutokana na matatizo haya ilifika mahali pesa nilizokwenda nazo ziliniishia na kulazimika kuwaomba ndugu zangu wauze baadhi ya mali zangu, ikiwemo kamera ili niweze kuendelea na matibabu,” amesema.
“Mtu umeshafika kwenye matibabu tena nchi za watu unafanyaje? Kurudi bila kutibiwa huwezi. Nililazimika kuwasiliana na ndugu zangu ili wauze baadhi ya vitu vyangu niweze kutibiwa maana afya yangu ni muhimu kuliko kamera.”
Kwa iyo apo inabidi tujipange tena kwa ajili ya michango.
Jamani pole sanaMimi nina uvimbe kwny pum.bu nadunda tu
Jamani pole sana
[emoji23][emoji23][emoji23]kwani mimi ndo niliyekurushia huo uvimbe huko mpaka uniite mchawi jamaniKafie mbali mchawi ww
Huyo wastara mwnyw hukumchangia[emoji23][emoji23][emoji23]kwani mimi ndo niliyekurushia huo uvimbe huko mpaka uniite mchawi jamani
Si bora hiyo hela nile chips.
Ww unajua kula chips tuSi bora hiyo hela nile chips.
Hii kitu ni vintage....parefu hapo kama parts zake ni original.
Yaani na ziwe zimejaa pilipili [emoji39][emoji39][emoji39]Ww unajua kula chips tu
Ndio maana yule bwana ako wa humu ulimwambia ww muhindi sababu unakula sn pilipiliYaani na ziwe zimejaa pilipili [emoji39][emoji39][emoji39]
Old modelHii kitu ni vintage....parefu hapo kama parts zake ni original.
Mimi nina mpasuko kwenye moyo, naomba nichangiwe ili nikatafute tabibu wa moyo wangu hapo Kigali tu.[emoji174] [emoji174] [emoji174]Uvimbe kwenye kalio
Ahahaaa ngoja nije PM kwanza umenikumbusha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana yule bwana ako wa humu ulimwambia ww muhindi sababu unakula sn pilipili
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]Mimi nina mpasuko kwenye moyo, naomba nichangiwe ili nikatafute tabibu wa moyo wangu hapo Kigali tu.[emoji174] [emoji174] [emoji174]