Kuna watu ma Master!
!
Noma Sana mkuu. Katisha mno
Siri yandoa kuvunjika, kunakuwa namengi yanayo fichwa. Usikute kigogo alikuwa amkojozi. Akaona bora asingizie Risiti. Wenyew wanajuwana.[emoji2] [emoji2] [emoji2]Usiache hii tabia
!Kuna watu ma Master
Ova
View attachment 686818
Msanii wa filamu bongo ambaye hivi karibuni amekuwa akipokea michango kutoka kwa watu mbali mbali kwa ajili ya matibabu, ameweka wazi moja ya sababu iliyofanya ndoa yake na kigogo wa CCM Sadifa Khamis kuvunjika baada ya muda mfupi.
Akizungumza na mwandishi wa eatv Wastara amesema mume wake huyo alionesha kutojali matatizo yake na badala yake kuweka pesa mbele, baada ya kudai risiti za matibabu aliyoenda kutibiwa India, kwa hela za michango ya watu mbali mbali, ili arudishiwe na bunge na ziingie mfukoni mwake.
Wastara amesema kitendo cha Sadifa kudai risiti hakikukifurahia, kwani pesa aliyokwenda nayo haikutoka mfukoni mwake, bali zilitoka kwa watu mbali mali wakiwemo Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu, Msanii Alikiba, rafiki yake Sadifa na wengineo.
Muungwana
ZERO BRAIN.......Hivi Ungepeleka Risiti hauoni ingekuwa nzuri maana hizo fedha angerudishiwa hivyo zingesaidia familia zaidi kwenye mambo mengine.View attachment 686818
Msanii wa filamu bongo ambaye hivi karibuni amekuwa akipokea michango kutoka kwa watu mbali mbali kwa ajili ya matibabu, ameweka wazi moja ya sababu iliyofanya ndoa yake na kigogo wa CCM Sadifa Khamis kuvunjika baada ya muda mfupi.
Akizungumza na mwandishi wa eatv Wastara amesema mume wake huyo alionesha kutojali matatizo yake na badala yake kuweka pesa mbele, baada ya kudai risiti za matibabu aliyoenda kutibiwa India, kwa hela za michango ya watu mbali mbali, ili arudishiwe na bunge na ziingie mfukoni mwake.
Wastara amesema kitendo cha Sadifa kudai risiti hakikukifurahia, kwani pesa aliyokwenda nayo haikutoka mfukoni mwake, bali zilitoka kwa watu mbali mali wakiwemo Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu, Msanii Alikiba, rafiki yake Sadifa na wengineo.
Muungwana
UFISADI NI UFISADI TU. UKITUMIKA NYUMBANI, NYUMBA NDOGO, BAR NK BADO UNABAKIA KUWA UFISADI.Kwani hiyo pesa ingerejeshwa si ingetumika tu hapo nyumbani?
Out of topic.UFISADI NI UFISADI TU. UKITUMIKA NYUMBANI, NYUMBA NDOGO, BAR NK BADO UNABAKIA KUWA UFISADI.
Inavyoonesha kutokana na maelezo ya huyo dada na ukimya wa aliyekuwa mume wake.KWAHIYO MUMEWE KUDAI RISITI ILI AKALIPWE PESA NA SERIKALI IWE NDIO SABABU YA KUACHANA
Rangi imemvutia wwe hujui mkuuThis time Ngosha ameingia kingi
Huyu dada sijui kawaje. Anatumia ugonjwa kama fimbo ya kuwapigia wengine. Sasa mumeo pia wamficha matumizi jamani.Wastara aache uongo mbona kipindi kile hakuongea kaja kuongea saiv baada ya shutuma za upigaji kwa kutumia ugonjwa mguu.
Sadifa alimpa pesa kiasi kikubwa za matibabu ndo maana akakubali ndoa ya haraka haraka.
Hahahaa. Kama kule kwenye wizara nyeti eehRangi imemvutia wwe hujui mkuu