Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Msanii wa Bongo Movie Wastara Juma, amesema kwamba kwa muda huu haitaji msaada wowote zaidi ya kumuombea dua ili aimarike kiafya.
"Nawaomba watanzania waniombee dua, kwa sasa sihitaji msaada wowote kwa watanzania zaidi ya wao kuniombea dua ili nizidi kuendelea vizuri kiafya.
Kinachonisumbua sasa hivi ni tatizo la kichwa na mgongo, kuna dawa nimeandikiwa na daktari za kutumia maisha yangu yote".
Chanzo: Cloudsfmtz
Sent using Jamii Forums mobile app
"Nawaomba watanzania waniombee dua, kwa sasa sihitaji msaada wowote kwa watanzania zaidi ya wao kuniombea dua ili nizidi kuendelea vizuri kiafya.
Kinachonisumbua sasa hivi ni tatizo la kichwa na mgongo, kuna dawa nimeandikiwa na daktari za kutumia maisha yangu yote".
Chanzo: Cloudsfmtz
Sent using Jamii Forums mobile app