Wastara: Mimi na mke mwenza shega tu

Wastara: Mimi na mke mwenza shega tu

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
PICHA YA PAMOJA WASTARA SAJUKI AKIWA NA MKE MWENZIE!!!
==Wastara akiwa na mke mkubwa baaada ya harusi.. Adai watu msiumize kichwa mke mkubwa kampokea vizuri kwa mikono miwili na wanajuana na kuheshimiana..Full stop.r

12507323_640532596084833_4301062091438153007_n.jpg
 
Mheshimiwa anajua kuchagua,Lol
Sijui alikosa nini kwahuyo wa kwanza??au tamaa tu??
 
Moyo wa binadamu unaficha mambo mengi sana, anatoa wapi ujasiri wa kujihakikishia yote hayo? Sio kila anachokisema mtu mwingine anamaanisha au kina ukweli.
 
Hongera zake ila kiukweli ukifiwa na mme tulia na wanao somesha wanao ishi maisha mazuri. Upande wangu kufiwa na mme ukaolewa tena ni aibu. Haijalishi wewe ni dini gani. Mara na huyo mme mpya afe kwa majonjwa yake usingiziwe umeleta mkosi kwenye familiya? Khaa
Acha kuyafanya maisha yako magumu.
 
Hongera zake ila kiukweli ukifiwa na mme tulia na wanao somesha wanao ishi maisha mazuri. Upande wangu kufiwa na mme ukaolewa tena ni aibu. Haijalishi wewe ni dini gani. Mara na huyo mme mpya afe kwa majonjwa yake usingiziwe umeleta mkosi kwenye familiya? Khaa
sasa unategemea akiwa na ashki(nyege) za kugongwa agongwe na nani?au ndo abaki kuzini tu?au unataka kusema mume akifa na nyege nazo zinakata?huy dada bdo mbichi kbs acha akapate haki yake ya ndoa bana asije akaendelea kubaki single mwishoe atuletee mitoto ya nje ya ndoa icyokuwa na baba...
 
ISLAM KUOLEWA WAWILI SI TATIZO . ILA WOTE WATATU WAMEHUSIKA KUIIMARISHA NDOA YAO KWA HAKI SAWA KWA WOTE KISHERIA CHA DINI YAO
 
Back
Top Bottom