Wastara: Nataka kuolewa na bilionea sasa hivi

dada kubwa we hutaki zilionea??
hela zinakuwa zingi zingi!!
ha haaa, mdogo wangu.....
kwani Mungu aliponiumba na akili na utashi kama hao wanaume alikuwa kichaa? si alijua na mimi naweza tafuta hizo zilionea zangu mwanyewe?
yaani kabisa nalala nasubiri mtu wa kunilitea hela zingi zingi kwa ujira wa k? kabisaaaaaaa!
kweli tumetofautiana aisee
 

Amenipata aje tu ani pm
 
Mhh mabig...ni maneno ya Wastara hayo?kwel mwaka mpya umeanza..!kumpata bilionare atakae kupenda,kujal kaz yako,kukuheshm,na kukuthamin ts kinda hard ktk ulimwengu huu!'Mungu akusimamie
 
naipenda nchi yangu! ina kila aina ya maajabu.

kwani wewe upendi kuoa au kuolewa na billionea? kila mtu anapenda maajabu yako wap? wewe ambao upendi ndio maajabu
 
Hii inaitwa busara mingi mingi!!!!!
 
Hii inaitwa busara mingi mingi!!!!!
ha haaa, rafiki lazima ku-acknowledge mapenzi mingi mingi ya Mungu kwetu......
ndo maana Mungu alitupa kila kitu sawa sawa kasoro biolojia zetu...... na hizo biolijia hazina la zaidi ya matumizi yake, bhaaasiiiiiiii. kila mtu anaweza fanya mwenzake anachoweza, ni kuamua tu
 
Mapenz aliyapata kwa sajuki R.I.P sasa anataka pesa
 
Wastara..mbona Sajuki akiwa hai hukuwahi kumwambia kuwa unataka ajitume awe bilionea?? by the way mimi ni bilionea ila navusha ngada!! uko tayari??? maana tatizo si ni ubilionea tu na haijalishi umekujaje?
 
Wastara..mbona Sajuki akiwa hai hukuwahi kumwambia kuwa unataka ajitume awe bilionea?? by the way mimi ni bilionea ila navusha ngada!! uko tayari??? maana tatizo si ni ubilionea tu na haijalishi umekujaje?

Mkuu usije kumfanya dada wa watu punda.
hizo ngada ufanywe mwenyewe lakin pesa ufaidi naye
 
Too bd for u mdada. Matatizo hayabishi hodi jamani, utampata bilionea after two month ni mgonjwa wa kugeuzwa kitandani hata raha ya hizo hela hataiona. Hela zinatafutwa tu jamani kubwa amtangulize Mungu katika kumtafute alie sahihi asije akajiona mwenye mabalaa tu huku duniani. Nampenda sn kwa misimamo yake mizuri,
 
Hey can't u make urself billionaire!? Mungu ni mmoja fanya kazi kwa bidii na muombe atakubariki achana na fikra potofu xa kufanikiwa kupitia mwanaume kwani wengi wa wanataka papuchi tu wakiipata wanasepa.
 
Wasanii wanahitaji washauri kabla ya kuongea kwenye media....
Neno moja linaweza kukushusha kabisaaaa...
 
Wasanii wanahitaji washauri kabla ya kuongea kwenye media....
Neno moja linaweza kukushusha kabisaaaa...

Au wawe na wasemaji wao kama nchi nyingine wafanyavo au timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…