Wastara: Sipo kwa ajili ya kujiuza

Mwanamke ameshavaa gauni la harusi jeupe, la pinki, la kijani, la njano... Bado jeusi tu..
Ni aibu aibu aibu.... Kila siku ndoa za mkeka.
[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] kaniki
 
Jana nimeona kusema akitaka kuolewa ataolewa muda wowote
 
Asigwa hiyo Avatar yako na maada zako mule mule kabisa
 
[emoji85] [emoji85] [emoji85] Utakuwa mgeni humu njini [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji43] [emoji87] [emoji15] [emoji15] [emoji57] hajitunzi wala nn ndoa salasini kidogo
Hahaha

Eb kuwa mkarimu kwa wageni
 
kama kweli na nafsini mwake ana nia njema ivo basi Mwenyezi-Mungu atampa bonge la mume zaidi ya marehemu sajuki kipenzi chake cha moyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…