Wastara taabani, anaumwa...

Dah tumuombee tu ila tafsiri ya picha inaonesha wazi alijiandaa kuumwa taaban
Nimecheka kama ni jambo zuri. Mkuu unajua anweza kuwa anaumwa kweli lakini anavyo-act, kupiga picha na kuatngaza kila anapoumwa basi inafanya hata jamii imchoke. BTW kama kila mtanzania anapougua ange-act kama huyu nchi isingekalika. Kuna watu hawajui kuna wengine wengi tu ni wagonjwa lakini hata hawasemi.
 
Hakuna mgonjwa hapo ni magilini tu. Kuna msg anawatumia msishtuke siku ikifika mjue na kujadili ah ni kichwa mara mguu mtabishana mbona alienda India kutibiwa kwani alitibiwa nini hahahhhh mwenye uelewa wameshtukia game. Aache kujilengesha buaaana
Kweli kabisa ndio maana Mange huwa anamwambia ukweli aache utapeli.
 
Dah Mange bado hajaonesha cannula ilipowekwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…