mkuu umeniwahi aisee,huyo muuguzi wa hospital gani?Dah tumuombee tu ila tafsiri ya picha inaonesha wazi alijiandaa kuumwa taaban
Kweli kabisa ameweka pose mujaarabu kwa ajili ya kuumwa taabaniDah tumuombee tu ila tafsiri ya picha inaonesha wazi alijiandaa kuumwa taaban
We unakajua kale kajamaa au unakasikia!soon utakaona hapo kanamendea msiba.Hahhhahahah mwehhh jamani siyo vzr kumsemea uwongo steve wa watu!
Hivi ni vi hospital vya wachina na wakorea vipo vingi mtaani wanatoa hadi damu wanaweka petrol!Hyo hospital hawavai uniform?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jizi hili demu, linataka mchango tena....waliache tuone kama litakata waya
Inawezekana maana si kwa mazingira hayo......ila pole yake akipona atulieHivi ni vi hospital vya wachina na wakorea vipo vingi mtaani wanatoa hadi damu wanaweka petrol!
Soon mchangoo safarii hii Us kipimo kiko UsMAMa canula anaumwa huku" kafungwa waya kibao kichwani " kama king'amuzi cha DSTV
Mama Sabrina
mahondaw
Jolie Jolie
Alikutwa na lile lisagaji chumbanii ,,anapenda mambo ya vikojoleowastara...alishawahi kufikwa na hiyo skendo"
ndio zake ...huyo ..hahaa""Alikutwa na lile lisagaji chumbanii ,,anapenda mambo ya vikojoleo