Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

Wasukuma na Simu mnaboa aisee!

wasukuma ni cha mtoto kwa wamasai

mmasai akipiga simu anaongea hadi mwisho wa safari ikikata anajiunga anapiga tena

hadi huwa najiuliza hawa jamaa mbona wakiwa barabara kwa mguu hukuti wanaongea na simu yani wao kosa aingie kwenye gari
 
Nikweli wanapaza sana sauti. Sisi ofisi yetu ina meza 6 kwakuwa ni room kubwa about 14 x 20 feet sasa tulikuwa na msukuma mmoja. Akianza kupiga story au kuongea na simu ni kelele mwanzo mwisho.
Nashukuru alihamishwa.
 
, ujue waluguru wenye miraba minne na waliopaa ang
kapime DNA mzee baba....

Hakuna mluguru wa kimo hicho

ukute ww ni damu ya usukumani unaishi exile 😂😂😂

thank me later
Marehemu Sembuli bado kidogo aue mtu Nyamagana. Soma historia ujue waluguru wenye miraba minne na waliopaa.
 
Ungeshukia hapo Isangawana mkuu
Leo nimepanda Basi toka Mkoa mmoja wapo wa Nyanda za Kusini naelekea Kanda ya Ziwa nikiwa na shauku kubwa kwakuwa tulipita njia ambayo nilikuwa nikiisikia sifa yake kuwa si rafiki hasa pale mkipata tatizo mnaweza kaa hata siku2 bila msaada, kufika eneo flani linaitwa Lupa wakapanda Wasukuma kama4 hivi, sasa wakaanza kupiga simu na wengine kupigiwa, mmoja alikuwa nyuma yangu, mwingine pembeni na mbele yangu, aisee hizo sauti naona walifikisha volume100%, nikaanza kujisachi labda kama nawezakuwa na ear-plug mfukoni nikakosa, nikatamani tufike sehemu network ipotee kabisa lakini wapi, inabidi kesho nikapime masikio, na safari nilio a mbaya na sipiti tena hiyo njia. Wasukuma mnaboa bhana.
 
Back
Top Bottom