Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
ANAETAFUTWA NI MO DEWJ SIO MO MUSIC HIV WASU-**** MNA NINI LAKINI !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kapime DNA mzee baba....Hizo story tu.
I'm 6'1
Marehemu Sembuli bado kidogo aue mtu Nyamagana. Soma historia ujue waluguru wenye miraba minne na waliopaa.kapime DNA mzee baba....
Hakuna mluguru wa kimo hicho
ukute ww ni damu ya usukumani unaishi exile 😂😂😂
thank me later
😂😂😂😂😂nzasheka imiNzainuka wedi weshu
Kuzacha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuu zako sijui umegoogle wapiiii
Leo nimepanda Basi toka Mkoa mmoja wapo wa Nyanda za Kusini naelekea Kanda ya Ziwa nikiwa na shauku kubwa kwakuwa tulipita njia ambayo nilikuwa nikiisikia sifa yake kuwa si rafiki hasa pale mkipata tatizo mnaweza kaa hata siku2 bila msaada, kufika eneo flani linaitwa Lupa wakapanda Wasukuma kama4 hivi, sasa wakaanza kupiga simu na wengine kupigiwa, mmoja alikuwa nyuma yangu, mwingine pembeni na mbele yangu, aisee hizo sauti naona walifikisha volume100%, nikaanza kujisachi labda kama nawezakuwa na ear-plug mfukoni nikakosa, nikatamani tufike sehemu network ipotee kabisa lakini wapi, inabidi kesho nikapime masikio, na safari nilio a mbaya na sipiti tena hiyo njia. Wasukuma mnaboa bhana.