Pilitoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 1,197
- 507
Moja ya mapungufu makubwa wanayoyafanya wasomi na wanasiasa wengi wanaotokea maeneo ya usukumani ni kwa kutotoa elimu stahiki kwa jamii zetu zilizo na utajiri wa kutisha kuthamini elimu.Hii ni dhambi kubwa na ni usaliti wa kutisha dhidi ya jamii zetu.Kila mmoja wetu sasa aamke kwa kila namna,tuhakikishe kuwa jamii zetu zinathamini elimu na ninaamini kuwa kupitia elimu maendeleo yatapatikana tu