Kwel mkuu juzi tu tumetoka kuzika kuna kijiji kinaitwa kwala ni kama Km 20 ukiacha morogoro road nilikutana na vitoto vya kisukuma vina chunga ndama na mbuzi vikiwa vimelowana na mvua iliyo kuwa ina nyesha nili viongelesha lakn havikuwa viki elewa vizur kiswahil nilisikitika sana pia sijajua kwa pale maeneo walikuwa wanaishi katika mazingira gan maana siku ona hat alama ya mji maeneo yale kweli lazima jamii zetu zibadilike Urithi wa mtoto ni elimu.