Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂nacheka ila naumiaSijui hata nikujibuje tu! Usiite mtu halafu acha mikwara tulia kabisa na Hilo la ukaka hilo nilishakwambiaje..?
Si rahisi hivyo...Kama umembuloko, si umuaniblokua tu?
Kashetani kadogo..😅Sio jambo baya kama unavuna chenye ulipanda...[emoji4][emoji4]
Wewe wasema..Hahahaa. Bila shaka weekend haikuwa murua kwako.
Mapenzi yanakunyoosha vilivyo.
Well said. Wakati jamaa anajipa moyo, upande wa pili dem anapetiwa petiwa na mshkaji mwingineUnajipa moyo. Yani kila anayeachwa au kupuuziwa uwa anapenda kujipa moyo oh no body will treat her like I do... Oh atanikumbuka nimemtndea mengi ... Oh anajifanya tu ila ananiwaza.
Kumbe mwenzako ashasahau anakumbuka tu lako jina.
Just move on mtu kama anakupenda hawezi vumilia hata siku 3.
Mkuu huna hata maneno mazuri mazuri ..😅Well said. Wakati jamaa anajipa moyo, upande wa pili dem anapetiwa petiwa na mshkaji mwingine
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Maneno mazuri mazuri ndio yanayoumiza sana mkuuMkuu huna hata maneno mazuri mazuri ..[emoji28]
😂😂Ahsante sana sungwi..