Wataaalam wa siasa mnielimishe: Pamoja na wapinzani kufanyiwa maovu kwanini bado wanaendelea?

Wataaalam wa siasa mnielimishe: Pamoja na wapinzani kufanyiwa maovu kwanini bado wanaendelea?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hizi siasa huenda hata bado sijazijua vizuri.

Hawa wapinzani wanapigwa sana, wengine vilema, wengine wameponea kifo chupu chupu, wengine washauwawa, wengine wapo magerezani, wengine washateswa sana, hivi huwa hawaogopi wanapoona wenzao wanapitia hayo?
 
Kwa sababu katika nchi ya watu milioni 60 haiwezekani kuwafanya raia wote kuwa na mawazo yanayofanana kama mazombi.
Ni vigumu sana kuumaliza upinzani kunapokuwa na watu wengi.
Hivyo hivyo ni vigumu sana watu milioni 60 kuwaaminisha CCM haifanyi kitu ili wakubali kumkabidhi madaraka Mbowe aliyejinasibu ukabila na ubwanyeye, au Tundu Lissu aliyejinasibu matusi na usaliti, tens yuko nje ya Nchi.

Kura wakishindwa wanadai polisi wanawapiga, kwa nini wawapige? Hata kama unapigwa, kura zako si ziko pale pale?

Mwaka 2020 aligombea Urais akapata 13% Magu akapa 87%. Walipiga kura kwa kuona Bwawa la Nyerere, kuhamia Dodoma, kufufuka ATC, flyovers kila mahali, kutetea makanikia yetu, amani na utulivu, discine kazini, nk. Mr. Tundu alitaka wampe kura kwa kitu gani alichofanya? Hata hao 13% sidhani kama ni kweli au ni wendawazimu.

Hata wabunge walishindwa, hatukuona polisi kwa Sugu au Peter Msigwa au Halima au hata kwa Mbowe mwenyewe Wilayani Hai. Majimbo ya Arusha Mjini (Lema) au Rombo (Joseph 30) kote walianguka mchana kweupe, hata kwao wamewachoka.

Ni vigumu sana watu milioni 60 wakubali kuonja sumu kwa ushabiki tu. Tume tunayo, Katiba tunayo, kama wanataka waweke zao zavushoga na uraiapacha, waziweke kwenye Ilani zao kwanza.

Wanasema watafanya vurugu kuzuia Uchaguzi, ngoja tusubiri. Ila watoto wao na mke wake kumbe ni Raia wa Marekani hawatokuwepo kushiriki mikikimikiki kuvuruga uchaguzi 2025.

Sioni watapitia wapi lakini tunawasubirini.
 
Hizi siasa huenda hata bado sijazijua vizuri.

Hawa wapinzani wanapigwa sana, wengine vilema, wengine wameponea kifo chupu chupu, wengine washauwawa, wengine wapo magerezani, wengine washateswa sana, hivi huwa hawaogopi wanapoona wenzao wanapitia hayo?
Wewe siyo tu hujui siasa mbali ni mjinga hujitambui, unategemea rasilimali za nchi nani azisemee? CCM wanazigawana kila siku
 
Hivyo hivyo ni vigumu sana watu milioni 60 kuwaaminisha CCM haifanyi kitu ili wakubali kumkabidhi madaraka Mbowe aliyejinasibu ukabila na ubwanyeye, au Tundu Lissu aliyejinasibu matusi na usaliti, tens yuko nje ya Nchi.

Kura wakishindwa wanadai polisi wanawapiga, kwa nini wawapige? Hata kama unapigwa, kura zako si ziko pale pale?

Mwaka 2020 aligombea Urais akapata 13% Magu akapa 87%. Walipiga kura kwa kuona Bwawa la Nyerere, kuhamia Dodoma, kufufuka ATC, flyovers kila mahali, kutetea makanikia yetu, amani na utulivu, discine kazini, nk. Mr. Tundu alitaka wampe kura kwa kitu gani alichofanya? Hata hao 13% sidhani kama ni kweli au ni wendawazimu.

Hata wabunge walishindwa, hatukuona polisi kwa Sugu au Peter Msigwa au Halima au hata kwa Mbowe mwenyewe Wilayani Hai. Majimbo ya Arusha Mjini (Lema) au Rombo (Joseph 30) kote walianguka mchana kweupe, hata kwao wamewachoka.

Ni vigumu sana watu milioni 60 wakubali kuonja sumu kwa ushabiki tu. Tume tunayo, Katiba tunayo, kama wanataka waweke zao zavushoga na uraiapacha, waziweke kwenye Ilani zao kwanza.

Wanasema watafanya vurugu kuzuia Uchaguzi, ngoja tusubiri. Ila watoto wao na mke wake kumbe ni Raia wa Marekani hawatokuwepo kushiriki mikikimikiki kuvuruga uchaguzi 2025.

Sioni watapitia wapi lakini tunawasubirini.
CCM uchaguzi walioshinda kihalali ni ule wa 1995 na walishinda kutokana na uchanga wa vyama pinzani.
 
Hivyo hivyo ni vigumu sana watu milioni 60 kuwaaminisha CCM haifanyi kitu ili wakubali kumkabidhi madaraka Mbowe aliyejinasibu ukabila na ubwanyeye, au Tundu Lissu aliyejinasibu matusi na usaliti, tens yuko nje ya Nchi.

Kura wakishindwa wanadai polisi wanawapiga, kwa nini wawapige? Hata kama unapigwa, kura zako si ziko pale pale?

Mwaka 2020 aligombea Urais akapata 13% Magu akapa 87%. Walipiga kura kwa kuona Bwawa la Nyerere, kuhamia Dodoma, kufufuka ATC, flyovers kila mahali, kutetea makanikia yetu, amani na utulivu, discine kazini, nk. Mr. Tundu alitaka wampe kura kwa kitu gani alichofanya? Hata hao 13% sidhani kama ni kweli au ni wendawazimu.

Hata wabunge walishindwa, hatukuona polisi kwa Sugu au Peter Msigwa au Halima au hata kwa Mbowe mwenyewe Wilayani Hai. Majimbo ya Arusha Mjini (Lema) au Rombo (Joseph 30) kote walianguka mchana kweupe, hata kwao wamewachoka.

Ni vigumu sana watu milioni 60 wakubali kuonja sumu kwa ushabiki tu. Tume tunayo, Katiba tunayo, kama wanataka waweke zao zavushoga na uraiapacha, waziweke kwenye Ilani zao kwanza.

Wanasema watafanya vurugu kuzuia Uchaguzi, ngoja tusubiri. Ila watoto wao na mke wake kumbe ni Raia wa Marekani hawatokuwepo kushiriki mikikimikiki kuvuruga uchaguzi 2025.

Sioni watapitia wapi lakini tunawasubirini.
Umeandika maelezo mengi ambayo hata hayaendani na mada.Ndugu hizo stress zako zitakua na upinzani utakuepo sana.
 
Hizi siasa huenda hata bado sijazijua vizuri.

Hawa wapinzani wanapigwa sana, wengine vilema, wengine wameponea kifo chupu chupu, wengine washauwawa, wengine wapo magerezani, wengine washateswa sana, hivi huwa hawaogopi wanapoona wenzao wanapitia hayo?
Huwezi kupata pesa kirahisi rahisi tu,, ipo siku na sisi tutaboa, na mtatuita waheshimiwa🤷🏾‍♂️
 
Hivyo hivyo ni vigumu sana watu milioni 60 kuwaaminisha CCM haifanyi kitu ili wakubali kumkabidhi madaraka Mbowe aliyejinasibu ukabila na ubwanyeye, au Tundu Lissu aliyejinasibu matusi na usaliti, tens yuko nje ya Nchi.

Kura wakishindwa wanadai polisi wanawapiga, kwa nini wawapige? Hata kama unapigwa, kura zako si ziko pale pale?

Mwaka 2020 aligombea Urais akapata 13% Magu akapa 87%. Walipiga kura kwa kuona Bwawa la Nyerere, kuhamia Dodoma, kufufuka ATC, flyovers kila mahali, kutetea makanikia yetu, amani na utulivu, discine kazini, nk. Mr. Tundu alitaka wampe kura kwa kitu gani alichofanya? Hata hao 13% sidhani kama ni kweli au ni wendawazimu.

Hata wabunge walishindwa, hatukuona polisi kwa Sugu au Peter Msigwa au Halima au hata kwa Mbowe mwenyewe Wilayani Hai. Majimbo ya Arusha Mjini (Lema) au Rombo (Joseph 30) kote walianguka mchana kweupe, hata kwao wamewachoka.

Ni vigumu sana watu milioni 60 wakubali kuonja sumu kwa ushabiki tu. Tume tunayo, Katiba tunayo, kama wanataka waweke zao zavushoga na uraiapacha, waziweke kwenye Ilani zao kwanza.

Wanasema watafanya vurugu kuzuia Uchaguzi, ngoja tusubiri. Ila watoto wao na mke wake kumbe ni Raia wa Marekani hawatokuwepo kushiriki mikikimikiki kuvuruga uchaguzi 2025.

Sioni watapitia wapi lakini tunawasubirini.

Kama unataka kuwa fair ondoa uchaguzi wa 2020..
 
Hivyo hivyo ni vigumu sana watu milioni 60 kuwaaminisha CCM haifanyi kitu ili wakubali kumkabidhi madaraka Mbowe aliyejinasibu ukabila na ubwanyeye, au Tundu Lissu aliyejinasibu matusi na usaliti, tens yuko nje ya Nchi.

Kura wakishindwa wanadai polisi wanawapiga, kwa nini wawapige? Hata kama unapigwa, kura zako si ziko pale pale?

Mwaka 2020 aligombea Urais akapata 13% Magu akapa 87%. Walipiga kura kwa kuona Bwawa la Nyerere, kuhamia Dodoma, kufufuka ATC, flyovers kila mahali, kutetea makanikia yetu, amani na utulivu, discine kazini, nk. Mr. Tundu alitaka wampe kura kwa kitu gani alichofanya? Hata hao 13% sidhani kama ni kweli au ni wendawazimu.

Hata wabunge walishindwa, hatukuona polisi kwa Sugu au Peter Msigwa au Halima au hata kwa Mbowe mwenyewe Wilayani Hai. Majimbo ya Arusha Mjini (Lema) au Rombo (Joseph 30) kote walianguka mchana kweupe, hata kwao wamewachoka.

Ni vigumu sana watu milioni 60 wakubali kuonja sumu kwa ushabiki tu. Tume tunayo, Katiba tunayo, kama wanataka waweke zao zavushoga na uraiapacha, waziweke kwenye Ilani zao kwanza.

Wanasema watafanya vurugu kuzuia Uchaguzi, ngoja tusubiri. Ila watoto wao na mke wake kumbe ni Raia wa Marekani hawatokuwepo kushiriki mikikimikiki kuvuruga uchaguzi 2025.

Sioni watapitia wapi lakini tunawasubirini.
Mjinga mwingine huyu hapa empty bràin
 
Hizi siasa huenda hata bado sijazijua vizuri.

Hawa wapinzani wanapigwa sana, wengine vilema, wengine wameponea kifo chupu chupu, wengine washauwawa, wengine wapo magerezani, wengine washateswa sana, hivi huwa hawaogopi wanapoona wenzao wanapitia hayo?

Wewe ni mnafiki, hakuna Cha swali Wala Nini.
 
Ndio ajira yao hiyo. Hawawezi kuacha. Kama ilivyo biashara nyingine, kuna mwaka unapata sana, mwingine haupati sana Au sometimes unakosa kabisa.
 
Hivyo hivyo ni vigumu sana watu milioni 60 kuwaaminisha CCM haifanyi kitu ili wakubali kumkabidhi madaraka Mbowe aliyejinasibu ukabila na ubwanyeye, au Tundu Lissu aliyejinasibu matusi na usaliti, tens yuko nje ya Nchi.

Kura wakishindwa wanadai polisi wanawapiga, kwa nini wawapige? Hata kama unapigwa, kura zako si ziko pale pale?

Mwaka 2020 aligombea Urais akapata 13% Magu akapa 87%. Walipiga kura kwa kuona Bwawa la Nyerere, kuhamia Dodoma, kufufuka ATC, flyovers kila mahali, kutetea makanikia yetu, amani na utulivu, discine kazini, nk. Mr. Tundu alitaka wampe kura kwa kitu gani alichofanya? Hata hao 13% sidhani kama ni kweli au ni wendawazimu.

Hata wabunge walishindwa, hatukuona polisi kwa Sugu au Peter Msigwa au Halima au hata kwa Mbowe mwenyewe Wilayani Hai. Majimbo ya Arusha Mjini (Lema) au Rombo (Joseph 30) kote walianguka mchana kweupe, hata kwao wamewachoka.

Ni vigumu sana watu milioni 60 wakubali kuonja sumu kwa ushabiki tu. Tume tunayo, Katiba tunayo, kama wanataka waweke zao zavushoga na uraiapacha, waziweke kwenye Ilani zao kwanza.

Wanasema watafanya vurugu kuzuia Uchaguzi, ngoja tusubiri. Ila watoto wao na mke wake kumbe ni Raia wa Marekani hawatokuwepo kushiriki mikikimikiki kuvuruga uchaguzi 2025.

Sioni watapitia wapi lakini tunawasubirini.


Wewe unaongelea Leo watu wanaongelea kesho. Huyo Magufuli alishinda uchaguzi gani?. Unazima internet nchi nzima kisa uibe kura?. Mwishowe ilibidi warudi CHADEMA kuiba wabunge Ili wapate misaada.
 
Hivyo hivyo ni vigumu sana watu milioni 60 kuwaaminisha CCM haifanyi kitu ili wakubali kumkabidhi madaraka Mbowe aliyejinasibu ukabila na ubwanyeye, au Tundu Lissu aliyejinasibu matusi na usaliti, tens yuko nje ya Nchi.

Kura wakishindwa wanadai polisi wanawapiga, kwa nini wawapige? Hata kama unapigwa, kura zako si ziko pale pale?

Mwaka 2020 aligombea Urais akapata 13% Magu akapa 87%. Walipiga kura kwa kuona Bwawa la Nyerere, kuhamia Dodoma, kufufuka ATC, flyovers kila mahali, kutetea makanikia yetu, amani na utulivu, discine kazini, nk. Mr. Tundu alitaka wampe kura kwa kitu gani alichofanya? Hata hao 13% sidhani kama ni kweli au ni wendawazimu.

Hata wabunge walishindwa, hatukuona polisi kwa Sugu au Peter Msigwa au Halima au hata kwa Mbowe mwenyewe Wilayani Hai. Majimbo ya Arusha Mjini (Lema) au Rombo (Joseph 30) kote walianguka mchana kweupe, hata kwao wamewachoka.

Ni vigumu sana watu milioni 60 wakubali kuonja sumu kwa ushabiki tu. Tume tunayo, Katiba tunayo, kama wanataka waweke zao zavushoga na uraiapacha, waziweke kwenye Ilani zao kwanza.

Wanasema watafanya vurugu kuzuia Uchaguzi, ngoja tusubiri. Ila watoto wao na mke wake kumbe ni Raia wa Marekani hawatokuwepo kushiriki mikikimikiki kuvuruga uchaguzi 2025.

Sioni watapitia wapi lakini tunawasubirini.

Unaongea Kama umekatwa kichwa. 2019 na 2020 kulikuwa Hakuna uchaguzi.
 
Hizi siasa huenda hata bado sijazijua vizuri.

Hawa wapinzani wanapigwa sana, wengine vilema, wengine wameponea kifo chupu chupu, wengine washauwawa, wengine wapo magerezani, wengine washateswa sana, hivi huwa hawaogopi wanapoona wenzao wanapitia hayo?
Tena wamefanyiwa maovu makubwa sana
 
Back
Top Bottom