MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Salama wandugu,
Nimesikitika sana nilipomsikiliza mkurugenzi wa maji Cyprian akisema kilichobaki wananchi wa DSM waombe Mungu ili inyeshe mvua kweli engineer huna option kabisa.
Nchi za wenzetu wanafanya desalination kuondoa chumvi na chemical zingine ndipo yanatumika, umeme unazalishwa kwa nuclear Dawasa msitegemee Mto Ruvu, Tanesco msitegemee mito.
Nimesikitika sana nilipomsikiliza mkurugenzi wa maji Cyprian akisema kilichobaki wananchi wa DSM waombe Mungu ili inyeshe mvua kweli engineer huna option kabisa.
Nchi za wenzetu wanafanya desalination kuondoa chumvi na chemical zingine ndipo yanatumika, umeme unazalishwa kwa nuclear Dawasa msitegemee Mto Ruvu, Tanesco msitegemee mito.