Wataalam, kwanini mnadhani kila kitu kinabadilika na kuwa ghali? Ni kuupiga tafu uchumi unaokufa?

Wataalam, kwanini mnadhani kila kitu kinabadilika na kuwa ghali? Ni kuupiga tafu uchumi unaokufa?

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Ni kama mambo yamebadirika sana na hakuna anayewaza juu ya mizigo hii mizito kwa wananchi

Tulianza na umeme, Tsh 27,000 hadi 300,000+ Nafaka kutoka bei ya kila mtu anunue akale na kwa Milo yote mitatu, na sasa ni wachache sana wanaokula Milo mitatu kama siyo viongozi tu na wenye nafasi hapo serikalini

Na sasa suala la Bima kwa watoto,

Kuna nini hapo?

Mbaya zaidi hatuambiwi ikiwa kimetokea nini!

Ila tunakuwa tunaarifiwa tu serikali inapotaka kupanua wigo wa kodi ili iongeze mapato!

Hii ni kujaribu kuupiga tafu uchumi unaokufa?
 
Mods, naombeni mbadirishe neno tatu lisomeke Tafu
 
Umeme siku zote bei ilikuwa 320,000
Walipoanza mpango wa REA ndo wakasema kwa REA iwe 27,000

Sasa wewe uko mjini unataka uungwe kama mtu wa kijijini?

Kuhusu Toto Afya serikali ishaeleza msimamo wake, kazi kwako kuchagua kusuka au kunyoa.

Watanzania hawasaidiki

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Umeme siku zote bei ilikuwa 320,000
Walipoanza mpango wa REA ndo wakasema kwa REA iwe 27,000

Sasa wewe uko mjini unataka uungwe kama mtu wa kijijini?

Kuhusu Toto Afya serikali ishaeleza msimamo wake, kazi kwako kuchagua kusuka au kunyoa.

Watanzania hawasaidiki

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom