Au waongeze neno mbele isomeke "tatu bila"Mods, naombeni mbadirishe neno tatu lisomeke Tafu
Jiwe huyu huyu ambaye yeye aliwafanyia Tsh 27,000 kuingiza umeme nyumbani mkuu!Yote haya yamesababishwa na jiwe.
Sawa mkuuUmeme siku zote bei ilikuwa 320,000
Walipoanza mpango wa REA ndo wakasema kwa REA iwe 27,000
Sasa wewe uko mjini unataka uungwe kama mtu wa kijijini?
Kuhusu Toto Afya serikali ishaeleza msimamo wake, kazi kwako kuchagua kusuka au kunyoa.
Watanzania hawasaidiki
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app