G45
Senior Member
- Apr 21, 2016
- 163
- 94
Wasalaam wandugu,
Nisipoteze muda niende moja kwa moja,
Mimi ni kijana umri 30+ nina siku ya pili sasa napata maumivu kwenye korodani moja sasa sijajua ni dalili za ugonjwa gani au inasababishwa na nini.
Wataalam mnisaidie napata maumivu makali sana kwenye korodani moja tu.
Nisipoteze muda niende moja kwa moja,
Mimi ni kijana umri 30+ nina siku ya pili sasa napata maumivu kwenye korodani moja sasa sijajua ni dalili za ugonjwa gani au inasababishwa na nini.
Wataalam mnisaidie napata maumivu makali sana kwenye korodani moja tu.