Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,033
- 723
Wanabodi: Nimefurahishwa na Tangazo la wataalam wa chuo chetu kikuu cha Dar Es salaam kutangaza dawa mpya ya Corona inayoitwa Fukiza. dawa hiyo kwa mils 10 inauzwa sh 6,000 tu. kuhusu matumizi na ufafanuzi zaidi tazama video clip hapa chini.
DAWA YA CORONA TANZANIA
DAWA YA CORONA TANZANIA