Wataalam wa Afya waingia mtaani kufanya jitihada za kudhibiti magonjwa ya kuhara Mkoani Simiyu

Wataalam wa Afya waingia mtaani kufanya jitihada za kudhibiti magonjwa ya kuhara Mkoani Simiyu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Timu ya Wataalamu wa Afya ngazi ya Wizara, Mkoa, Wilaya na Shirika la Afya Duniani (WHO) imeingia mtaani na kufanya zoezi la upimaji sampuli za maji katika Visima, Mabwawa na Kaya pamoja na utoaji wa Elimu Wilayani Itilima Mkoani Simiyu.
Taarifa ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu imesema Elimu imetolewa kwa kila Kaya kwa Wananchi Wilayani Itilima ikiwa ni jitihada endelevu za Serikali pamoja na Shirika la Afya Duniani katika kukabiliana na Ugonjwa wa kipindupindu Mkoani Simiyu.

Pia soma:
~
Kipindupindu Simiyu kimeshamiri, kinaua ni hatari! Mbona Serikali haiweki wazi 'status' ipoje?
~ DC Meatu asitisha shughuli za Ibada Makanisa yasiyo na vyoo

Snapinsta.app_459313865_302393139623205_3786139444574788623_n_1080.jpg

Snapinsta.app_459152613_1506298896943562_3816374774809012062_n_1080.jpg

Snapinsta.app_459068476_1673212460106794_3262887684888970648_n_1080.jpg

Snapinsta.app_459285526_556926196698490_2494816804038265543_n_1080.jpg

Snapinsta.app_459087378_1452951592070632_2152089628804172383_n_1080.jpg
 
Back
Top Bottom