Kwa lot ya ngp[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?nilideposit 20usd nikaipandisha hadi 7,400 kwa muda wa wiki mbili, kumbuka sikuclose trades for two weeks.
Absolutely maana kwahy account na lot size km sio 0.01 sijuiHuyu chizi anafikiri yuko jukwaa la vilaza wenzake eti alideposit $20 akaacha trade zirun wiki nzima labda kama anatumia laverage ya 1:10000000
Sijaelewa.Anhaa sawa nitalifanyia kazi
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Kuna watu yaani we acha tu!Sijaelewa.
Mbona unajijibu mwenyewe 😂
Apo kwenye ku kalculate pips bdo ni changamoto mwangu, nisaidie..Hellow mm bado najifunza in this forex business ila ningependa kuchangia kitu ikipendeza unaweza tumia au unaweza ongezewa kitu au unaweza punguza kitu by fact kwenye comment chini ya hii comment
Watu wengi atuelewi nini mana ya risk and money mangment
A.90% of traders awajui pips value kama ujui pip value uwezi kujua utapata shingapi au utapoteza shingapi
Kama ujui kwamba
Ukitrade ukapata pips 30
Kwa lot 0.01
Pair zifuatazo utengeneza usd izo basi tupo kwenye kundi hilo
GBPNZD=1.93usd
USDCHF=3.16usd
EURUSD=3usd
GBPJPY=2.81Usd
EURGBP=3.7usd
Asa uki focus na net pips. Uki lose 30pips in EURGBP utakua umepoteza usd 3.7usd
Ukigain 30pip in GBPNZD. Uta tengeneza usd1.93usd
Kwa traders wengi tutasema nipo kwenye break even no loss no profit ila ukweli. utakua una asala ya -1.77usd
B.90% wana trade bila kujua were to cut loss hivyo utakuta mtu anaona. Bora ni hold itageuka ila atakua ana baatisha na aelewi anachofanya
Kwaiyo kama na unavijua ivi vyote na avijakulipa for three year achana na hii biashara
Ila kama uvijui jua bado unavingi vya kujifunza jipe mdaa na endelea kusikiliza watu wengine. utapata exposure
@Kashebofx
+255758022953
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] yaa !! Upo sawa kwa kiwango chako cha akili.Chai-kamba
Kwanini usiandike hapa?Hellow mm bado najifunza in this forex business ila ningependa kuchangia kitu ikipendeza unaweza tumia au unaweza ongezewa kitu au unaweza punguza kitu by fact kwenye comment chini ya hii comment
Watu wengi atuelewi nini mana ya risk and money mangment
A.90% of traders awajui pips value kama ujui pip value uwezi kujua utapata shingapi au utapoteza shingapi
Kama ujui kwamba
Ukitrade ukapata pips 30
Kwa lot 0.01
Pair zifuatazo utengeneza usd izo basi tupo kwenye kundi hilo
GBPNZD=1.93usd
USDCHF=3.16usd
EURUSD=3usd
GBPJPY=2.81Usd
EURGBP=3.7usd
Asa uki focus na net pips. Uki lose 30pips in EURGBP utakua umepoteza usd 3.7usd
Ukigain 30pip in GBPNZD. Uta tengeneza usd1.93usd
Kwa traders wengi tutasema nipo kwenye break even no loss no profit ila ukweli. utakua una asala ya -1.77usd
B.90% wana trade bila kujua were to cut loss hivyo utakuta mtu anaona. Bora ni hold itageuka ila atakua ana baatisha na aelewi anachofanya
Kwaiyo kama na unavijua ivi vyote na avijakulipa for three year achana na hii biashara
Ila kama uvijui jua bado unavingi vya kujifunza jipe mdaa na endelea kusikiliza watu wengine. utapata exposure
@Kashebofx
+255758022953
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kupitia youtube maelezo yapo freshApo kwenye ku kalculate pips bdo ni changamoto mwangu, nisaidie..
Komaa,forex km biashara zingine au labda hii ni zaidi,inahitaji uvumilivu mkubwa,kawaida trader huanza kuwa successful baada ya miaka mitatu hadi mitano,lengo co kukukatisha tamaa lkn kukupa moyo kwamba una muda wa kutosha sn kujifunza.Habari wazee, hivi juzi nilianza biashara ya forex kwa kuweka kiasi cha usd 100 kwenye account. na hii ni history tangu nilivyoanza kutrade hadi sasa, naombeni mnipe ushauri kama naweza kuendelea au niache na kama naweza kuendelea nifanye nini ili nipate matokeo mazuri zaidi
View attachment 1435213