Wataalam wa Forex naweza kuendelea au niache

Wataalam wa Forex naweza kuendelea au niache

[Forwarded from Felix]
For telegram user

Anayehitaji kujifunza
*forex basic
*advanced course,candlestic pattern and pysology behind its formation
*Supply and demand strategy

ajoin telegram chanel

👇🏽
Forextanzania
 
Kuwa na risk management nzuri tumia position size calculator au app ya simu inaitwa stinu unaweka account capital yako risk per trade in percent na stop loss idadi ya pips then unachagua pair unazo trade then inakupa pips idadi kulingana na lot size na amount of money u might lose trade ikiwa against na ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow mm bado najifunza in this forex business ila ningependa kuchangia kitu ikipendeza unaweza tumia au unaweza ongezewa kitu au unaweza punguza kitu by fact kwenye comment chini ya hii comment

Watu wengi atuelewi nini mana ya risk and money mangment

A.90% of traders awajui pips value kama ujui pip value uwezi kujua utapata shingapi au utapoteza shingapi

Kama ujui kwamba
Ukitrade ukapata pips 30
Kwa lot 0.01
Pair zifuatazo utengeneza usd izo basi tupo kwenye kundi hilo
GBPNZD=1.93usd
USDCHF=3.16usd
EURUSD=3usd
GBPJPY=2.81Usd
EURGBP=3.7usd

Asa uki focus na net pips. Uki lose 30pips in EURGBP utakua umepoteza usd 3.7usd
Ukigain 30pip in GBPNZD. Uta tengeneza usd1.93usd

Kwa traders wengi tutasema nipo kwenye break even no loss no profit ila ukweli. utakua una asala ya -1.77usd

B.90% wana trade bila kujua were to cut loss hivyo utakuta mtu anaona. Bora ni hold itageuka ila atakua ana baatisha na aelewi anachofanya

Kwaiyo kama na unavijua ivi vyote na avijakulipa for three year achana na hii biashara
Ila kama uvijui jua bado unavingi vya kujifunza jipe mdaa na endelea kusikiliza watu wengine. utapata exposure
@Kashebofx
+255758022953



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow mm bado najifunza in this forex business ila ningependa kuchangia kitu ikipendeza unaweza tumia au unaweza ongezewa kitu au unaweza punguza kitu by fact kwenye comment chini ya hii comment

Watu wengi atuelewi nini mana ya risk and money mangment

A.90% of traders awajui pips value kama ujui pip value uwezi kujua utapata shingapi au utapoteza shingapi

Kama ujui kwamba
Ukitrade ukapata pips 30
Kwa lot 0.01
Pair zifuatazo utengeneza usd izo basi tupo kwenye kundi hilo
GBPNZD=1.93usd
USDCHF=3.16usd
EURUSD=3usd
GBPJPY=2.81Usd
EURGBP=3.7usd

Asa uki focus na net pips. Uki lose 30pips in EURGBP utakua umepoteza usd 3.7usd
Ukigain 30pip in GBPNZD. Uta tengeneza usd1.93usd

Kwa traders wengi tutasema nipo kwenye break even no loss no profit ila ukweli. utakua una asala ya -1.77usd

B.90% wana trade bila kujua were to cut loss hivyo utakuta mtu anaona. Bora ni hold itageuka ila atakua ana baatisha na aelewi anachofanya

Kwaiyo kama na unavijua ivi vyote na avijakulipa for three year achana na hii biashara
Ila kama uvijui jua bado unavingi vya kujifunza jipe mdaa na endelea kusikiliza watu wengine. utapata exposure
@Kashebofx
+255758022953



Sent using Jamii Forums mobile app
Apo kwenye ku kalculate pips bdo ni changamoto mwangu, nisaidie..
 
Chai-kamba
[emoji23][emoji23] yaa !! Upo sawa kwa kiwango chako cha akili.
images%20(2).jpg
 
Hellow mm bado najifunza in this forex business ila ningependa kuchangia kitu ikipendeza unaweza tumia au unaweza ongezewa kitu au unaweza punguza kitu by fact kwenye comment chini ya hii comment

Watu wengi atuelewi nini mana ya risk and money mangment

A.90% of traders awajui pips value kama ujui pip value uwezi kujua utapata shingapi au utapoteza shingapi

Kama ujui kwamba
Ukitrade ukapata pips 30
Kwa lot 0.01
Pair zifuatazo utengeneza usd izo basi tupo kwenye kundi hilo
GBPNZD=1.93usd
USDCHF=3.16usd
EURUSD=3usd
GBPJPY=2.81Usd
EURGBP=3.7usd

Asa uki focus na net pips. Uki lose 30pips in EURGBP utakua umepoteza usd 3.7usd
Ukigain 30pip in GBPNZD. Uta tengeneza usd1.93usd

Kwa traders wengi tutasema nipo kwenye break even no loss no profit ila ukweli. utakua una asala ya -1.77usd

B.90% wana trade bila kujua were to cut loss hivyo utakuta mtu anaona. Bora ni hold itageuka ila atakua ana baatisha na aelewi anachofanya

Kwaiyo kama na unavijua ivi vyote na avijakulipa for three year achana na hii biashara
Ila kama uvijui jua bado unavingi vya kujifunza jipe mdaa na endelea kusikiliza watu wengine. utapata exposure
@Kashebofx
+255758022953



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usiandike hapa?
 
tuhamie piptwitz.com kule positivity kubwa kila mtu ana trade forex humu kuna watu yamewashinda sasa wanaharibu vichwa vya wanao pambana hakuna kitonga kokote maishani ukiona kitu kila mtu anaweza akakifanya akatengeneza pesa nacho jua kabisa hakuna pesa yakueleweka hapo. Ila ukiona kugumu ni wachache wanaweza kuiga au kutengeneza pesa na biashara yako basi jua upo sehemu sahihi chakufanya pambana uwe kwa wachache.
 
Habari wazee, hivi juzi nilianza biashara ya forex kwa kuweka kiasi cha usd 100 kwenye account. na hii ni history tangu nilivyoanza kutrade hadi sasa, naombeni mnipe ushauri kama naweza kuendelea au niache na kama naweza kuendelea nifanye nini ili nipate matokeo mazuri zaidi

View attachment 1435213
Komaa,forex km biashara zingine au labda hii ni zaidi,inahitaji uvumilivu mkubwa,kawaida trader huanza kuwa successful baada ya miaka mitatu hadi mitano,lengo co kukukatisha tamaa lkn kukupa moyo kwamba una muda wa kutosha sn kujifunza.

La msingi kuzingatia ili usipoteze sanity,risk pesa ambayo ht ukiipoteza kwa kupata hasara au kuunguza account hutavurugwa,kingine don't risk kila kitu kwa sababu tu umeambiwa forex will make u rich,nna personal experience na hili,la tatu jitahidi upate ur own way of trading(strategy),hapa lzm utakutana na strategies wa waliotangulia lkn hutatrade km wao,kwny hizo zao utapata ya kwako itakufaa ww kulingana na mazingira na state of mind yako.
 
Kwa wale wapenzi wa Crude Oil , ni mwendo wa ku buy tuu. hii ndio faida ya ku trade bidhaa zinazotabirika uelekeo wake
 
Back
Top Bottom