Bado tuna safari ndefu sana kwenye janga hili feki la HIV/AIDS.Uongo wowote ukiurudia mara kwa mara kuusisitiza kuwa ni kweli mwishowe watu wataamini.Ni wale tu ambao wana ufahamu wa kutosha kuhusu uongo huo ndio watakaoweza kuepuka kudanganywa.
PEP hazina faida yoyote mwilini na hakuna mantiki yoyote kwamba husaidia kumuokoa mtu na maambukizi ya HIV kwa kuwa HIV/AIDS haImbukizwi kwa njia ya damu/sex/vimiminika vya mwili,na isitoshe HIV ni harmless passenger virus ever ever existed for centuries without causing AIDS.Najua hili ni jambo geni na jipya kwa wengi,na mtu anaposikia kwa mara ya kwanza inakuwa kama muujiza kwake hasa pale mzungumzaji anapokuwa sio maarufu kama watu ambao tumewazoea kama vile Antonio Faucci,Robert Gallo au Luc Montagnier.
Tanzania/dunia bila HIV/AIDS inawezekana kwa wale tu ambao wata unlock password hii kama mimi.Mimi siogopi HIV kwa kuwa naelewa na najua pia undani wa ugonjwa huu feki kuanzia;
1.Historia yake ambayo ni upumbavu uliopindukia
2.Hypothesis yake ambayo sio scientific kabisa,ni feki kupindukia
3.HIV tests used which are extremely fake
4. Kwa nini waliotudanganya wameamua kutudanganya
Kama mtu anapinga hili,kabla hatujaanza mjadala wa kisayansi kwanza aende kituo cha afya chochote kinachopima kina mama wajawazito ambao pia waume zao wamepimwa pia,halafu uliza idadi ya couple zilizopimwa HIV na matokeo yake kwa mme na mke wake ambaye ana mimba.Ukishapata majibu tumia akili yako,huna haja ya kuniambia.Hapo ndio utajua namaanisha nini.Kwa msaada zaidi nenda topic hapo chini na soma post zangu zote.
Korea Kaskazini yatoa ushahidi kuwa Marekani ndiye mwanzilishi wa Ebola