Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Kutokana na jua kali kipindi cha kiangazi huwa mbogamboga hazistawi vizuri pia kipindi cha mvua mbogamboga hazistawi vizuri kutokana na mvua nyingi.
Je, kunauwezekano wa kuezeka shamba unalolima mbogamboga ili kuepukana na hizo kero?
uwezekano upo mkuu...
hali ya jua Kali au mvua nyingi huweza kuathiri ukuaji wa mazao kama mboga mboga kwani mboga huhitaji tu kiasi fulani tu cha maji ili kukua vizuri..
Ili kuzuia hili greenhouse hutumika... green house huwa na special cover ilinaloweza kupitisha kiwango flani cha mwanga na kuzuia mvua na wadudu kuingia katika shamba ila umwagiliaji/irrigation huitajika katika greenhouse yako!!!