Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Kutokana na jua kali kipindi cha kiangazi huwa mbogamboga hazistawi vizuri pia kipindi cha mvua mbogamboga hazistawi vizuri kutokana na mvua nyingi.
Je, kunauwezekano wa kuezeka shamba unalolima mbogamboga ili kuepukana na hizo kero?
Je, kunauwezekano wa kuezeka shamba unalolima mbogamboga ili kuepukana na hizo kero?