Platnam
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 769
- 1,237
[emoji16][emoji16][emoji16]. Jamaa naona ana underrate hiyo mashine aise.. Yani hizo hp ni nothing kweli?Okey mkuu platnam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]. Jamaa naona ana underrate hiyo mashine aise.. Yani hizo hp ni nothing kweli?Okey mkuu platnam.
Hii ndo confidance yangu always nilipomilik bmw watu walipiga kelele but mbona naienjoy tu
Platnam mpo wawili?[emoji16][emoji16][emoji16]. Jamaa naona ana underrate hiyo mashine aise.. Yani hizo hp ni nothing kweli?
hata Rollys Royce Cullian , Bugati , Lambo, Ferrari eeh 😀😀Kama umeweza kumiliki BMW, then waweza miliki gari jingine lolote...
Magari yanayoenda kwenye masoko ya Marekani ni mabaya kimuonekano.
They're too big for nothing.
hata Rollys Royce Cullian , Bugati , Lambo, Ferrari eeh 😀😀
Spare sio swapa la kulia lia kama pesa ipo. Dunia ni ki bush siku hizi.Jamaa concern yake ya spare kwa Mazda nashindwa kubaliana naye, sababu kwanza anasema anamiliki BMW, pili hapendi Toyota...
Kwa hizo facts mbili tu, hana sababu ya kuhofia kumiliki Mazda
Hapana, pengine hukuelewa statement yangu ya awali... Nilikua nakwambia kwamba jamaa anamaanisha hp 400+ twin turbo V6 ni big for nothingPlatnam mpo wawili?
Oooh. Poa mkuuHapana, pengine hukuelewa statement yangu ya awali... Nilikua nakwambia kwamba jamaa anamaanisha hp 400+ twin turbo V6 ni big for nothing
[emoji1][emoji1] bahati mbaya BMW,Benz,Audi,Vw zilizojaa bongo Ni modal za zamani zamani tu.Hawachekani na wanaonunua Toyota kwa maana ya CIF+Kodi za TRAHii ndo confidance yangu always nilipomilik bmw watu walipiga kelele but mbona naienjoy tu
Hizi Gari Nairobi zimejaa wanasema ziko nyingi Kama IST Dar es salaam. Ila wanasema Za Petrol ndio uhakika, za Diesel zina usumbufu japo ndio Zina nguvu na ndio zinatumia mafuta kidogo. Nenda You tube Search channel ya Kenya inaitwa "Carnversation" ame Review Cx5 vizuri sana.Kuna gari nimeipenda sana nataka nimwagizie wife.
Mazda CX-5 nzuri sana mwonekano.
Je wataalam upatikanaji wake wa spear ukoje?
Au kuna mtu amewah kuimiliki anishaur pls
Kwamba mwenzetu umemiliki gari gani na gani?Bro toyota ni gari nisiyoipenda maisha yangu yote sijawah kumilik toyota sijui nazionaje [emoji19]
Kwamba mwenzetu umemiliki gari gani na gani?
Kuna gari nimeipenda sana nataka nimwagizie wife.
Mazda CX-5 nzuri sana mwonekano.
Je wataalam upatikanaji wake wa spear ukoje?
Au kuna mtu amewah kuimiliki anishaur pls