Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
kABISA HAPO UPO SAHIHI..Pole sana ndugu '
Hiyo hali inawakuta watu wengi japo kiwango hutofautiana hata kwa wale wanaopoteza wachumba ,mali ,kazi na n.k
>ila tukirudi katk swala la ndugu yako kuwa hilo ni tatzo kwake limekuwa kubwa na ameshindwa kulikabili pamoja na nyie mlichukulia kuacha na mke wake ni jambo jepesi sasa ipo hivi
>ndugu yako amekubwa na Msongo wa mawazo ambao umempelekea depression na mkakanyiko wa akili [ukichaa] hali imesababisha na mawazo ya muda mrefu ambayo amechelewa kufanya maamuzi kamili [yaan alimua kumuacha ila akili ilikuwa hajajikamilisha kumuacha kimamilifu] incomplete decision
>Amekuwa na wakati wakufikiria malengo alieweka na kujipanga wakat wote na huyo mwanamke [ameshindwa kuyapotezea na kukubali hali yake ya sasa na kuanza upya ]
Ushauri kwa ujumla kwa Ndugu yako akikubwa na matatzo kama hayo usione kawaida atakama yupo kawaida mambo yakufanya
>kuwa nae karbu sana muda mwingi
>muuache akuulezee hisia zake na machungu yake
>muache alie alie kbisa [usimkatize kuulza maana kulia humsaidia kupunguza homon za uzuni iliyoingia katk damu) na kumpa unafuu
>muache aongee yeye kuliko wew
>mpeleke mazingira mapya
>usiku lala nae au mpe vidonge vya usingizi [ila kuna vidonge maalumu nenda hospital watatoa].
>ajihusishe na ngono salama kwa MTU mwingine kadiri awezavyo
>muongoze kufanya mazoezi
>mpeleke kwa wataalumu wa saikolojia.
ajihusishe na ngono salama kwa MTU mwingine kadiri awezavyo