Wataalam wa magonjwa ya akili, tangu jana nyumbani hatulali kaka amechanyikiwa hivyo ni vurugu tu

Wataalam wa magonjwa ya akili, tangu jana nyumbani hatulali kaka amechanyikiwa hivyo ni vurugu tu

Pole sana ndugu '
Hiyo hali inawakuta watu wengi japo kiwango hutofautiana hata kwa wale wanaopoteza wachumba ,mali ,kazi na n.k

>ila tukirudi katk swala la ndugu yako kuwa hilo ni tatzo kwake limekuwa kubwa na ameshindwa kulikabili pamoja na nyie mlichukulia kuacha na mke wake ni jambo jepesi sasa ipo hivi

>ndugu yako amekubwa na Msongo wa mawazo ambao umempelekea depression na mkakanyiko wa akili [ukichaa] hali imesababisha na mawazo ya muda mrefu ambayo amechelewa kufanya maamuzi kamili [yaan alimua kumuacha ila akili ilikuwa hajajikamilisha kumuacha kimamilifu] incomplete decision

>Amekuwa na wakati wakufikiria malengo alieweka na kujipanga wakat wote na huyo mwanamke [ameshindwa kuyapotezea na kukubali hali yake ya sasa na kuanza upya ]
Ushauri kwa ujumla kwa Ndugu yako akikubwa na matatzo kama hayo usione kawaida atakama yupo kawaida mambo yakufanya
>kuwa nae karbu sana muda mwingi
>muuache akuulezee hisia zake na machungu yake
>muache alie alie kbisa [usimkatize kuulza maana kulia humsaidia kupunguza homon za uzuni iliyoingia katk damu) na kumpa unafuu
>muache aongee yeye kuliko wew
>mpeleke mazingira mapya
>usiku lala nae au mpe vidonge vya usingizi [ila kuna vidonge maalumu nenda hospital watatoa].
>ajihusishe na ngono salama kwa MTU mwingine kadiri awezavyo
>muongoze kufanya mazoezi
>mpeleke kwa wataalumu wa saikolojia.
kABISA HAPO UPO SAHIHI..

ajihusishe na ngono salama kwa MTU mwingine kadiri awezavyo
 
Inategemea MTU wako amefikia kiwango kipi ila kwakuwa nyie mlichelewesha sana naomba mufikishe hospital kabisa ili arejee kwenye hali yake mapema zAidi

Kwa level ya familia inabidi tuanze mjua MTU tangu tatzo limetokea na kumsaidia kwa ukarbu zaid
Kwa level ya kifamilia tatizo lilianza a nalalamika Hana pesa na alikua akiomba msaada anakulazimisha umpe. Lakini badae akatulia na wiki mbili badae akaanza kutoa pesa ndani ya nyumba na kumsaidia ndugu Sasa jambo hili mke wake akaona ni uharibifu wa pesa.. Kiufupi mwanamke ni m.banaji. Ndipo alipoamua kumfukuza mkewe na kubaki pekee.. Hapo ndipo shida ikaongezeka mpaka kufikia Sasa. Kiufupi haeleweki.
 
Kwa level ya kifamilia tatizo lilianza a nalalamika Hana pesa na alikua akiomba msaada anakulazimisha umpe. Lakini badae akatulia na wiki mbili badae akaanza kutoa pesa ndani ya nyumba na kumsaidia ndugu Sasa jambo hili mke wake akaona ni uharibifu wa pesa.. Kiufupi mwanamke ni m.banaji. Ndipo alipoamua kumfukuza mkewe na kubaki pekee.. Hapo ndipo shida ikaongezeka mpaka kufikia Sasa. Kiufupi haeleweki.
Yaan walipofanakana mlipaswa kujua nini zaidi kwa undani na hisia za ndugu yenu [mawazo yake]
Ki Tz mambo ya saikologi tunachukulia poa ila kwa maisha ya sasa wengi huzongwa na magonjwa ya ukichaa ,depression ,bp na n.k kwakuw hukutana na changamoto ambazo wanashindwa kuzitatua kisaikolojia.

,[HASHTAG]#Natumain[/HASHTAG] yupo hospital na anapata huduma ?
 
UGONJWA WA KAKA YAKO TIBA YAKE NI UTATUZI WA MGOGORO NA MKE WAKE YAANI HAPO KIKUBWA NI MKE KUWA AU KURUDI TU HAKUNA TIBA NYNGINE. NA KAMA CHANZO CHA KUACHANA NI MWANAMKE KUMKATAA WAKATI ALIPENDWA AISEE TIBA NI HUYO WIFI YAKO TU...
Ni jambo la msingi ndio maana nikasema wawez kukaa nae na afikie maamuz kamili
Kaka asnt kwakuliweka wazi kbsa
 
Stress zimepelekea hilo ila linatibika huko huko uliko wala huhitaji kwenda Dodoma maana hatua aliyopo ni mwanzo tu nina ndg yng hapa wa aina hiyo chanzo kilikua stress za mapenzi hatimae ukali,kuongea mwnyw,kuvua nguo hadi kuacha kazi na kuongea mambo yasiyoeleweka katibiwa Hosp ya mkoa na anaendelea vzr cha msingi azingatie dawa!!! Pia msimwache peke yake
 
Yaan walipofanakana mlipaswa kujua nini zaidi kwa undani na hisia za ndugu yenu [mawazo yake]
Ki Tz mambo ya saikologi tunachukulia poa ila kwa maisha ya sasa wengi huzongwa na magonjwa ya ukichaa ,depression ,bp na n.k kwakuw hukutana na changamoto ambazo wanashindwa kuzitatua kisaikolojia.

,[HASHTAG]#Natumain[/HASHTAG] yupo hospital na anapata huduma ?
Ndio Leo ameanza sindano hapa hospital
 
Stress zimepelekea hilo ila linatibika huko huko uliko wala huhitaji kwenda Dodoma maana hatua aliyopo ni mwanzo tu nina ndg yng hapa wa aina hiyo chanzo kilikua stress za mapenzi hatimae ukali,kuongea mwnyw,kuvua nguo hadi kuacha kazi na kuongea mambo yasiyoeleweka katibiwa Hosp ya mkoa na anaendelea vzr cha msingi azingatie dawa!!! Pia msimwache peke yake
Nashukuru mkuu Kwa faraja
 
Okay ni vzr jipange mnapofika hospital kukuta na daktari atawapa maelekezo mazuri kwa ukarbu ndugu kwakuwa atakuwa amechokua history ya mgonjwa.
=hope everything will be fine
 
Usikate tamaa atapona..kuna ndugu alikuwa na shida kama hiyo na aliuguziwa nyumbani kwetu....Baada ya kutoka hospitali alitafutiwa mtu wa porojo nyingi awe anapiga nae soga throughout....Jamaa mpaka sasa ana akili timamu while before alikuwa anafungwa kamba.
Nikufariji tu ndugu yako atapona.
 
Usikate tamaa atapona..kuna ndugu alikuwa na shida kama hiyo na aliuguziwa nyumbani kwetu....Baada ya kutoka hospitali alitafutiwa mtu wa porojo nyingi awe anapiga nae soga throughout....Jamaa mpaka sasa ana akili timamu while before alikuwa anafungwa kamba.
Nikufariji tu ndugu yako atapona.
Nashukuru sana mkuu Kwa faraja yako
 
Mkuu sawe4u huu ushauri wako "mgonjwa afanye ngono salama na mtu mwingine" unahisi waangalizi wa mgonjwa watauzingatia kweli? na ni mwanamke gani timilifu atakubali kumgawia penzi mwanaume mgonjwa wa akili?
 
Mkuu sawe4u huu ushauri wako "mgonjwa afanye ngono salama na mtu mwingine" unahisi waangalizi wa mgonjwa watauzingatia kweli? na ni mwanamke gani timilifu atakubali kumgawia penzi mwanaume mgonjwa wa akili?
Mkuu labda hujamwelewa mtoa hoja.
 
maskini mafile yamejichanganya tafuteni kwanza spirit help akiwa hapo hospital ILA. uyu msaidiz wa kiroho asiwe hawa digital then madr wakiwapa report nzuri tafuten psychologist adeal nae
 
Mkuu sawe4u huu ushauri wako "mgonjwa afanye ngono salama na mtu mwingine" unahisi waangalizi wa mgonjwa watauzingatia kweli? na ni mwanamke gani timilifu atakubali kumgawia penzi mwanaume mgonjwa wa akili?
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂 bana weeee nimepafikiria sana hapo.....Bora umesema
 
Back
Top Bottom