Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Kwanza kabisa niwape pole Kwa majukumu. Nina kaka yangu. Wa damu 1 niliemfuatia. Alianza na kulalamika kuwa mke wake anamsumbua lakini mwezi umepita akawa ni mkali hata kwa jambo dogo. Ongea yake ni ukali tu.
Lakini badae ikafika hatua na mkewe wakaachana yani akamfukuza kutokana na maelewano ndani ya nyumba. Wakagawana Mali zao Sasa tangu pale wiki 3 Sasa Hali ikazidi kuwa mbaya, hivi sasa tupo nae hospital tumefunga kamba asikimbie.. Wataalam wangu nisaidieni tatizo ni nini hasa? Ili kaka awe kama mwanzo ushauri wenu wadau.
Asanteni.
Lakini badae ikafika hatua na mkewe wakaachana yani akamfukuza kutokana na maelewano ndani ya nyumba. Wakagawana Mali zao Sasa tangu pale wiki 3 Sasa Hali ikazidi kuwa mbaya, hivi sasa tupo nae hospital tumefunga kamba asikimbie.. Wataalam wangu nisaidieni tatizo ni nini hasa? Ili kaka awe kama mwanzo ushauri wenu wadau.
Asanteni.