Wataalam wa Majanga na Hatari kwa Mazingira ya sasa ya Tanganyika Packers Kawe yanaruhusu Tamasha Kubwa kufanyika?

Wataalam wa Majanga na Hatari kwa Mazingira ya sasa ya Tanganyika Packers Kawe yanaruhusu Tamasha Kubwa kufanyika?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa jinsi palivyo sasa Tanganyika Packers Kawe na Ujenzi unaoendelea, Kulivyobanana na hata Hali ya Usalama kuwa si nzuri nikisikia kuna Tamasha lolote lile linataka Kufanyika naanza kuingiwa / kujawa na Hofu Kubwa kuwa huenda Madhara Makubwa ( Vifo au Watu Kujeruhiwa ) kukatokea na baadae tukajifariji kwa Maneno yetu ya Kinafiki na Kipuuzi kuwa ni Kazi ya Mungu.

Msije kusema Critical Observer Mimi GENTAMYCINE sikuwatahadhirisha na mnaotoa Vibali kwa Matamasha kufanyika Maeneo Hatarishi kwa sasa kama Tanganyika Packers Kawe likitokea na kutokea mjue Kutubu kwa Mungu na Kuzilinda Familia za Walioondoka mazima.

Tayari nimeshaona HATARI mahala.
 
Wewe jamaa mwamposa kakukosea nini kila mara unamuwazia majanga? Mikusanyiko anayofanya na wengine hufanya ila huko huoni hatari
 
Back
Top Bottom