Ni biashara nzuri. Kama nilivyosema biashara zote zinauza instagram. Bidhaa za vijana zinauza. Ni wewe tu na uvumilivu na mbinu katika kutafuta soko na kukuza jina lako.
Biashara zinazofanya vizuri ni bidhaa za wanawake, ushauri km umeamua kufanya biashara online usitegemee sana insta, tumia pia Facebook inawateja wengi kuliko insta.
Biashara zinazofanya vizuri ni bidhaa za wanawake, ushauri km umeamua kufanya biashara online usitegemee sana insta, tumia pia Facebook inawateja wengi kuliko insta.