Dah! Pole sana!
Kama huyo mdudu mnamuona, tafuteni bomba la sindano, muweke mafuta ya taa, mumchome huyo mdudu! Kama tatizo ni kufa basi atakufa tu!
...
Hapo itabaki issue ya kumtoa!
mafuta taa yanaweza ua huyo mdudu?, na je, hayawezi kudhuru sikio?. asante sana ndugu.