Ighombe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 1,181
- 675
Jamani wanajamvi ,Kwa yeyote anayejua ukweli kuhusu hawa wataalam wa mtaani waliozagaa Masokoni na kila mahali mitaani anijuze .Wanapima kwa utaratibu ufuatao:
(1) Kipimo kinawekwa kwenye kidole mkononi halafu anakuambia una ugonjwa wa moyo, figo na mengineyo.
(2) Baada ya vipimo matibabu yanatolewa iwe ni sokoni au barabarani raia wanabandikwa dawa.
Swali:hivi ni kweli vipimo kama hivi ambavyo hata specimen haichukuliwi vipo? na hawa watu wanasajiliwa na kitengo gani ktk nchi hii?
NB.Sasa hospitali zimejengwa xa kazi gani?
Binafsi niliwahi kumpeleka mgonjwa wangu kwa wachina pale Kaloleni kwa doctor mmoja anajiita Li kawekewa kipimo kidoleni kaambiwa moyo unakua na makorokocho kibao.Baadae hospitalini kaambiwa hana tatizo.KARIBUNI KWA MCHANGO WENU.
(1) Kipimo kinawekwa kwenye kidole mkononi halafu anakuambia una ugonjwa wa moyo, figo na mengineyo.
(2) Baada ya vipimo matibabu yanatolewa iwe ni sokoni au barabarani raia wanabandikwa dawa.
Swali:hivi ni kweli vipimo kama hivi ambavyo hata specimen haichukuliwi vipo? na hawa watu wanasajiliwa na kitengo gani ktk nchi hii?
NB.Sasa hospitali zimejengwa xa kazi gani?
Binafsi niliwahi kumpeleka mgonjwa wangu kwa wachina pale Kaloleni kwa doctor mmoja anajiita Li kawekewa kipimo kidoleni kaambiwa moyo unakua na makorokocho kibao.Baadae hospitalini kaambiwa hana tatizo.KARIBUNI KWA MCHANGO WENU.