Wataalam wa ndoto, naombeni ufafanuzi wa hili

Wataalam wa ndoto, naombeni ufafanuzi wa hili

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Habari wakuu,

Juzi niliota nikamuona jamaa mmoja ambaye ni mkuu wangu kwenye "kampuni" tunapofanya kazi yupo anaangalia navyopambania mchakato wangu wa kupata hela ananichek kwa jicho kama anataka kwamisha mishe yangu (na yeye ndio mkuu wa ofisi ya pesa), kesho yake kazini asubuhi namuona halafu anapandishwa cheo.

Jana usiku nimeota kama tulikua mawindoni mimi nimembeba njiwa tuliemuangusha, leo asubuhi tumekaa kijiweni hapa mzigoni na bro mmoja tunakula Winston, njiwa wakaja wakatua kwenye huu mti ambao tumekaa. Nikaenda kwenye gari nikachukua manati na gololi nikaja nikamlenga mmoja, Tawi la mti likamuokoa yule njiwa maana ilikua inaenda kutua kichwani, njiwa akaruka.

Napata mashaka somehow vitu ninavyoviota vinakuja ku-happen in reality kwa namna Fulani. Au ni ishara ya unabii?
 
Unabiii 🤣 kuota njiwa tena umemlenga ukamkosa.

Hapo unayetaka kumwibia naye ni ngwiji, jipange.
 
MANATI NDANI YA GARI LAKO YANAFANYA KAZI GANI NYINGINE MPAKA YAPATE UMUHIMU WA KUTEMBEA NAYO?

Cc. Kalaga baho
 
Ndugu lipa ZAKA,

Alipaye ZAKA ,hawezi kurogwa, hatua zake hazizuiliki mf kupanda Cheo au mvuto, magonjwa yatafukuziliwa mbali, mikosi nk nk.

Wenzio unaowaona wanaroga, sasa wewe nenda lipa ZAKA, hawatokuweza.

Nimemaliza!!
 
Habari wakuu,

Juzi niliota nikamuona jamaa mmoja ambaye ni mkuu wangu kwenye "kampuni" tunapofanya kazi yupo anaangalia navyopambania mchakato wangu wa kupata hela ananichek kwa jicho kama anataka kwamisha mishe yangu (na yeye ndio mkuu wa ofisi ya pesa), kesho yake kazini asubuhi namuona halafu anapandishwa cheo.

Jana usiku nimeota kama tulikua mawindoni mimi nimembeba njiwa tuliemuangusha, leo asubuhi tumekaa kijiweni hapa mzigoni na bro mmoja tunakula Winston, njiwa wakaja wakatua kwenye huu mti ambao tumekaa. Nikaenda kwenye gari nikachukua manati na gololi nikaja nikamlenga mmoja, Tawi la mti likamuokoa yule njiwa maana ilikua inaenda kutua kichwani, njiwa akaruka.

Napata mashaka somehow vitu ninavyoviota vinakuja ku-happen in reality kwa namna Fulani. Au ni ishara ya unabii?
Achana na hayo mawazo utakuja chukia watu ukazan wanakuloga kumbe ni mawazo yako na ndoto za kawaida tuh
 
Habari wakuu,

Juzi niliota nikamuona jamaa mmoja ambaye ni mkuu wangu kwenye "kampuni" tunapofanya kazi yupo anaangalia navyopambania mchakato wangu wa kupata hela ananichek kwa jicho kama anataka kwamisha mishe yangu (na yeye ndio mkuu wa ofisi ya pesa), kesho yake kazini asubuhi namuona halafu anapandishwa cheo.

Jana usiku nimeota kama tulikua mawindoni mimi nimembeba njiwa tuliemuangusha, leo asubuhi tumekaa kijiweni hapa mzigoni na bro mmoja tunakula Winston, njiwa wakaja wakatua kwenye huu mti ambao tumekaa. Nikaenda kwenye gari nikachukua manati na gololi nikaja nikamlenga mmoja, Tawi la mti likamuokoa yule njiwa maana ilikua inaenda kutua kichwani, njiwa akaruka.

Napata mashaka somehow vitu ninavyoviota vinakuja ku-happen in reality kwa namna Fulani. Au ni ishara ya unabii?
Eneo ulilopo umesema Lina njiwa wengi asa hata usingeota hio ndoto njiwa wangekuja tuh kwenye huo mti maana umesema wapo wengi
 
Na
Ndugu lipa ZAKA,

Alipaye ZAKA ,hawezi kurogwa, hatua zake hazizuiliki mf kupanda Cheo au mvuto, magonjwa yatafukuziliwa mbali, mikosi nk nk.

Wenzio unaowaona wanaroga, sasa wewe nenda lipa ZAKA, hawatokuweza.

Nimemaliza!!
shukrani sana mkuu
 
Back
Top Bottom