Mkuu hata hao wataalamu wenyewe wa real estate hakuna.We jaribu kuangalia taasisi kama chuo kikuu mlimani, accomodation ni shida,wanashindwa kuwa wabunifu kufanya kitu kwa ajili ya accomodation ya wateja wake (wanafunzi) na wakati tayari soko lipo na wanaweza kuli monitor,interms ya malipo ya kodi.
Wamebaki kutegemea Nssf na NHC ambao hata hvyo bei zao sio rafki kabisa kwa wahitaji.
Yaani NNSF bei zao utafikiri unanunua Villa sydney...duh!
Ni kutokua na uelewa na exposure ya kutosha,ikipatkana kampuni mbadala ika invest kwenye industry hyo kwa makazi ya bei nzuri itapata soko kubwa sana,mana wahitaji ni wengi sana Tanzania.
Ni kutokua na uelewa na exposure ya kutosha,ikipatkana kampuni mbadala ika invest kwenye industry hyo kwa makazi ya bei nzuri itapata soko kubwa sana,mana wahitaji ni wengi sana Tanzania.
Mortgage ni kujitia kwenye maskini tu especially kama malipo yana span mpaka miaka 20.Number one we must understand that this is someone's business and the owner need to make money
number two materials used to build the houses are also expensive and most of these are imported with lots of taxes
number three: buliding is also expensive relatively due to the formalizaton of the process.
We think we can build our own houses cheaply; which I agree but this is only because we do it informally ij most cases not following the formal way of doing it.
With time mortgage will become relatively cheap once the market is very well developed but for now it is preserved for middle to high income segments
Number one we must understand that this is someone's business and the owner need to make money
number two materials used to build the houses are also expensive and most of these are imported with lots of taxes
number three: buliding is also expensive relatively due to the formalizaton of the process.
We think we can build our own houses cheaply; which I agree but this is only because we do it informally ij most cases not following the formal way of doing it.
With time mortgage will become relatively cheap once the market is very well developed but for now it is preserved for middle to high income segments
Kuliko kununua nyumba za NSSF au NHC ni bora nidundulize nijenge kakibanda kangu tu
Kuliko kununua nyumba za NSSF au NHC ni bora nidundulize nijenge kakibanda kangu tu