Wataalam wa Sheria mpo? Hivi Ndugai hawezi kutimuliwa Uspika kwa kuikanyaga Katiba?

Wataalam wa Sheria mpo? Hivi Ndugai hawezi kutimuliwa Uspika kwa kuikanyaga Katiba?

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Comreds hi! Hopes twajilinda vyema kwa kutulia nyumbani na Ku take precautions kwa kuvaa mask na kunawa mikono kwa sanitizers.

Kwa ufahamu wangu sote tuko chini ya Katiba inayotuongoza. Kuikanyaga katiba kwa sisi watu wa imani nisawa na kumkufuru Roho mtakatibu .

Mwalimu Nyerere aliwahi sema hakuna aliye juu ya katiba na kiongozi atakaye ibeza katiba hatufai.

Huyu ndugai anavunja katiba waziwazi mchana kweupe wote tukiona. Anamleta bungeni mtu aliye acha ubunge na kuhama chama. Huko CCM alikohamia hakujafanyika uchaguzi kumfanya kuwa mbunge kama wale wengine waliohama na kuchaguliwa tena.

Kama taifa inaonekana tumepoteza dira kabisa hatuongozwi tena na katiba Bali utashi wa watu na mawazo yao. Je, haiwezekeni Ndugai akafunguliwa mashitaka ya kuidharau katiba ya nchi iwe fundisho kwa viongozi wengine?
 

Attachments

  • Screenshot_20200508-154351.png
    Screenshot_20200508-154351.png
    131.1 KB · Views: 2
Comreds hi! Hopes twajilinda vyema kwa kutulia nyumbani na Ku take precautions kwa kuvaa mask na kunawa mikono kwa sanitizers.

Kwa ufahamu wangu sote tuko chini ya Katiba inayotuongoza. Kuikanyaga katiba kwa sisi watu wa imani nisawa na kumkufuru Roho mtakatibu .

Mwalimu Nyerere aliwahi sema hakuna aliye juu ya katiba na kiongozi atakaye ibeza katiba hatufai.

Huyu ndugai anavunja katiba waziwazi mchana kweupe wote tukiona. Anamleta bungeni mtu aliye acha ubunge na kuhama chama. Huko ccm alikohamia hakujafanyika uchaguz kumfanya kuwa mbunge kama wale wengine waliohama na kuchaguliwa tena.

Kama taifa inaonekana tumepoteza dira kabisa hatuongozwi tena na katiba Bali utashi wa watu na mawazo yao. Je haiwezekeni ndugai akafunguliwa mashitaka ya kuidharau katiba ya nchi iwe fundisho kwa viongozi wengine ?
Kaagizwa na mzee ndiyo maana mzee alisema ametoa maelekezo Cdm wasilipwe chochote
 
Cecil ametinga bungeni kama mbunge ya CHADEMA
 
siku babeli ikianguka hilo litawezekana

but kwa sasa yy ndiye katibu wa katiba

above the law
 
Comreds hi! Hopes twajilinda vyema kwa kutulia nyumbani na Ku take precautions kwa kuvaa mask na kunawa mikono kwa sanitizers.

Kwa ufahamu wangu sote tuko chini ya Katiba inayotuongoza. Kuikanyaga katiba kwa sisi watu wa imani nisawa na kumkufuru Roho mtakatibu .

Mwalimu Nyerere aliwahi sema hakuna aliye juu ya katiba na kiongozi atakaye ibeza katiba hatufai.

Huyu ndugai anavunja katiba waziwazi mchana kweupe wote tukiona. Anamleta bungeni mtu aliye acha ubunge na kuhama chama. Huko CCM alikohamia hakujafanyika uchaguzi kumfanya kuwa mbunge kama wale wengine waliohama na kuchaguliwa tena.

Kama taifa inaonekana tumepoteza dira kabisa hatuongozwi tena na katiba Bali utashi wa watu na mawazo yao. Je, haiwezekeni Ndugai akafunguliwa mashitaka ya kuidharau katiba ya nchi iwe fundisho kwa viongozi wengine?

Unahitaji Akili ya Kiuwendawazimu kutaka Kumjadili Mtu ambaye Kisaikolojia tu ameshaathirika Kiakili na Magonjwa Mtambuka.
 
hii mihimili ya serikali inaongozwa na kichwa kimoja viwiliwili ndio tofauti.
Ndungai anapambana kuikomao CHADEMA na kumfurahisha Magufuli hadi mambo ya msingi ya kuzngatia yanampita..!
 
Back
Top Bottom