rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Tatizo la upotolo mechi zao hawazungumzii ila mechi za Simba wanajifanya ni var
Mpira ugande kwa mtoa assist, ugande at what moment? Mtoa assist ameugusa mara moja tu ? Picha itakupaje hizo taarifa ?Kurahisisha mambo jaribu kurudisha huo mpira ugande kabisa kwa jamaa alietoa assist, ndio utajua exactly eneo alilokuwa mfungaji
Hivi wewe ushawahi kusomea kozi ya urefalii? acha uchambuzi wa kuangalia marudio ya picha za mpira wakati technolojia yetu ni macho ya kawaida wakati ambapo mpira unachezwa na maamuzi ya refa huheshimiwa coz we all knows our technology is poor au ushabiki wako ndio iwe shida kwa watu.....utopoloSawa mkuu nakurudishia nyuma tena. hapa nakuwekea kipindi ambacho mpira unaenda kwa Morrison, angalia position ya Luis yupo wapi?View attachment 1722329
Hapana kama atakaefunga alikua kwenye offside position wakati mpira unapigwa na mchezaji mwenzake inakua ni offside.Ndio hakuna off side.
Kwani sheria ya offide inaangalia position ya mtoa assist pekee (Morrison) au inaangalia position ya mfungaji wakati mpira unapigwa na mtoaji assist? Tuambie Luis alikuwa eneo lipi wakati mpira unapigwa kuja kwakeGOLI HALALI.
Sababu morrison hakuwa offside.na yeye ndo wa kwanza kuupiga mpira konde akamalizia.
Hata lile walilolikataa nalo ni goli halali.
Wewe ni shabiki wa mpira na sio shabiki wa timu. Watu wanaenda kwenye mahaba ya usimba na uyanga wanaacha kuzungumzia sheria inasemaje.Goli la Luis lilikua halikutakiwa kua goli halali kama line 2 angekua makini,maana wakati Morrisson anaugusa ule mpira kwa kichwa Luis alikua kwenye Offside position,
Ni sawa na goli la Fiston kwenye mechi na Polisi Tanzania,Fiston alikua ameotea wakati Kisinda anapiga ile pasi.
Ni muendelezo wa maamuzi mabovu kutoka kwa waamuzi wetu.
Hapana kama atakaefunga alikua kwenye offside position wakati mpira unapigwa na mchezaji mwenzake inakua ni offside.
Ila kama mpiga shuti anapiga iwe shuti au pasi na mpira unamgonga mchezaji wa timu pinzani hata kama mchezaji mwenzake anakua kwenye offside position inakua sio offside.
Kwani sheria ya offide inaangalia position ya mtoa assist pekee (Morrison) au inaangalia position ya mfungaji wakati mpira unapigwa na mtoaji assist? Tuambie Luis alikuwa eneo lipi wakati mpira unapigwa kuja kwake
Je, Luis alikuwa katika offside position ama lah katika goli alilofunga leo dhidi ya Prisons?
View attachment 1722295
Tusiende mbali tuangalie wakati Morrison anapiga mpira je Luis alikuwa eneo lipi onside au offside?pale kulikuwa na krosi mbili tofauti.
Ya kwanza ile ya pembeni.
Na ya pili ni ile ya kichwa ya morrison.
Na morrison hakuwa kwenye offside.mpaka mpira unapigwa krosi ya pili kulikuwa na beki alikuwa anakwenda na konde boy
Tusiende mbali tuangalie wakati Morrison anapiga mpira je Luis alikuwa eneo lipi onside au offside?
Babu naona sheria za off side bado zinakusumbua tulia kazisome vizuri.Luis alikua off side,Goli la Mugalu ni halali hakua ameotea wakati Mohammed Hussein anapiga lile shuti.konde alikuwa anakimbia na mchezaji wa prison.
Aliyeua offside ni morrison.sababu yeye ndo wa kwanza kuugusa mpira.
Ila kama ile krosi ya kwanza ingefika moja kwa moja kwa konde basi ingekuwa kweli ni offside
Babu naona sheria za off side bado zinakusumbua tulia kazisome vizuri.Luis alikua off side,Goli la Mugalu ni halali hakua ameotea wakati Mohammed Hussein anapiga lile shuti.
Ni wazi umeonekana haujui sheria ya offsidekonde alikuwa anakimbia na mchezaji wa prison.
Aliyeua offside ni morrison.sababu yeye ndo wa kwanza kuugusa mpira.
Ila kama ile krosi ya kwanza ingefika moja kwa moja kwa konde basi ingekuwa kweli ni offside
Ni wazi umeonekana haujui sheria ya offside