Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
%0.01 is well within rounding off / margin of error.
Watu milioni 14 na laki 2 wapige kura, mshindi ashinde kwa zaidi ya kura 200,000 , halqfu unaleta figisu kwa kura 1,420?
Kwa mujibu wa Al-Jazeera, Ruto kapata kura 7,176,141. Raila kapata kura 6,942,930. Tofauti 233,211.
Sasa kati ya hizo 233,211 ukitoa 1,420 umpe Raila zote, bado unabaki na Ruto akiongoza kwa kura 231,791.
So, the error is irrelevant, because it does not change the outcome.
Watu milioni 14 na laki 2 wapige kura, mshindi ashinde kwa zaidi ya kura 200,000 , halqfu unaleta figisu kwa kura 1,420?
Kwa mujibu wa Al-Jazeera, Ruto kapata kura 7,176,141. Raila kapata kura 6,942,930. Tofauti 233,211.
Sasa kati ya hizo 233,211 ukitoa 1,420 umpe Raila zote, bado unabaki na Ruto akiongoza kwa kura 231,791.
So, the error is irrelevant, because it does not change the outcome.