Shida Iko hivi mkuu, DC naona inachelewa sana kupeleka moto kwenye Simu.. Sasa sijajua kwamba inatakiwa nipate DC yenye uwezo gani... Just imagine naweza kuweka Simu kwenye DC lisaa limoja then nakuta imeingia 3% only
Uko sahihi unacho experience, obviously expected.
Problem is USB port ya charge controller, kobe na pweza charger aren’t actually phone chargers bali ni 5V DC source.
1. Technically ni DC source ambayo hairegulate voltage required by the phone BMS.
2. Lower level engineering used
Follow me as i dig a little deeper into electronics. I’ll try to lean in a layman way.
Mobile phones battery ni Lithium ion battery.
Charging cycles za li-ion battery zinakua dictated na BMS firmware iliyopo kwenye simu. Ili Battery ichaji, 5V DC source inatakiwa iwe enginered clean, close to zero voltage fluctuations.
Otherwise BMS itakua ina ruhusu power system relay ON-OFF based on cleanliness ya voltage. The number of times it disconnects power, the longer the battery % stumbles.
Overcharge ina rise temperature leading to fire explosion of Li-ion, eventually.
AC adapters ziko precisely engineered, undoubtedly.
Electrochemistry ya hii battery inaruhusu battery ichajiwe to full charge kwa variable time with some other variables kept constant under CCCV algorithm.
Kwa maana hiyo sasa battery ya simu ya 4000mAh (4 Ampere hour) inamaanisha hii battery inaweza kujaa roughly kwa lisaa kama inapata 4 Ampere kutoka kwenye charger, inaweza kujaa kwa masaa 2 kama ikipata 2A kutoka kwenye charger, inaweza kujaa masaa 3 kama ikipata 1.3A kutoka kwenye chaja, etc.
There’s time limit. Taking too long kills a battery.
While producing these amps, voltage should not surge.
Solutions.
1. While 5V source is not clean, tumia original USB cable (thicker) ku reduce voltage drops.
2. Kama simu ya gharama, Tafuta 50W micro inverter specifically for phone charging, hapo utatumia AC adapter ya kawaida. Everything will be fine.