Wataalam wa umeme wa solar nisaidieni hapa

Wataalam wa umeme wa solar nisaidieni hapa

Uko sahihi unacho experience, obviously expected.

Problem is USB port ya charge controller, kobe na pweza charger aren’t actually phone chargers bali ni 5V DC source.

1. Technically ni DC source ambayo hairegulate voltage required by the phone BMS.
2. Lower level engineering used


Follow me as i dig a little deeper into electronics. I’ll try to lean in a layman way.

Mobile phones battery ni Lithium ion battery.

Charging cycles za li-ion battery zinakua dictated na BMS firmware iliyopo kwenye simu. Ili Battery ichaji, 5V DC source inatakiwa iwe enginered clean, close to zero voltage fluctuations.
Otherwise BMS itakua ina ruhusu power system relay ON-OFF based on cleanliness ya voltage. The number of times it disconnects power, the longer the battery % stumbles.

Overcharge ina rise temperature leading to fire explosion of Li-ion, eventually.

AC adapters ziko precisely engineered, undoubtedly.

Electrochemistry ya hii battery inaruhusu battery ichajiwe to full charge kwa variable time with some other variables kept constant under CCCV algorithm.


Kwa maana hiyo sasa battery ya simu ya 4000mAh (4 Ampere hour) inamaanisha hii battery inaweza kujaa roughly kwa lisaa kama inapata 4 Ampere kutoka kwenye charger, inaweza kujaa kwa masaa 2 kama ikipata 2A kutoka kwenye charger, inaweza kujaa masaa 3 kama ikipata 1.3A kutoka kwenye chaja, etc.

There’s time limit. Taking too long kills a battery.

While producing these amps, voltage should not surge.

Solutions.
1. While 5V source is not clean, tumia original USB cable (thicker) ku reduce voltage drops.
2. Kama simu ya gharama, Tafuta 50W micro inverter specifically for phone charging, hapo utatumia AC adapter ya kawaida. Everything will be fine.
A comment from the Electronics Engineer...
 
Uko sahihi unacho experience, obviously expected.

Problem is USB port ya charge controller, kobe na pweza charger aren’t actually phone chargers bali ni 5V DC source.

1. Technically ni DC source ambayo hairegulate voltage required by the phone BMS.
2. Lower level engineering used


Follow me as i dig a little deeper into electronics. I’ll try to lean in a layman way.

Mobile phones battery ni Lithium ion battery.

Charging cycles za li-ion battery zinakua dictated na BMS firmware iliyopo kwenye simu. Ili Battery ichaji, 5V DC source inatakiwa iwe enginered clean, close to zero voltage fluctuations.
Otherwise BMS itakua ina ruhusu power system relay ON-OFF based on cleanliness ya voltage. The number of times it disconnects power, the longer the battery % stumbles.

Overcharge ina rise temperature leading to fire explosion of Li-ion, eventually.

AC adapters ziko precisely engineered, undoubtedly.

Electrochemistry ya hii battery inaruhusu battery ichajiwe to full charge kwa variable time with some other variables kept constant under CCCV algorithm.


Kwa maana hiyo sasa battery ya simu ya 4000mAh (4 Ampere hour) inamaanisha hii battery inaweza kujaa roughly kwa lisaa kama inapata 4 Ampere kutoka kwenye charger, inaweza kujaa kwa masaa 2 kama ikipata 2A kutoka kwenye charger, inaweza kujaa masaa 3 kama ikipata 1.3A kutoka kwenye chaja, etc.

There’s time limit. Taking too long kills a battery.

While producing these amps, voltage should not surge.

Solutions.
1. While 5V source is not clean, tumia original USB cable (thicker) ku reduce voltage drops.
2. Kama simu ya gharama, Tafuta 50W micro inverter specifically for phone charging, hapo utatumia AC adapter ya kawaida. Everything will be fine.
Ni kwanini wanao chaji kwa solar wanalalamika battery ya simu kufa mapema?
 
Ni kwanini wanao chaji kwa solar wanalalamika battery ya simu kufa mapema?
-Slow charging (takes longer to fully charge)—-kills battery
- Unstable voltage —overvoltaging even in few seconds kills battery slowly


230VAC/5VDC adapter takes care of all these as it was perfectly engineered for the job.
 
-Slow charging (takes longer to fully charge)—-kills battery
- Unstable voltage —overvoltaging even in few seconds kills battery slowly


230VAC/5VDC adapter takes care of all these as it was perfectly engineered for the job.
Hata ukiwa unatumia inverter bado utahitaji hicho kifaa?
 
Lakini pia zama hizi kuwasha taa kwa invetor mbona ni kuingia gharama isiyo ya lazima. Wakati siku hizi zipo taa za DC ambazo zina mwanga mzuri tu. Na huwaka kwa muda mrefu sana. Kuhusu kuchaj simu hapo waweza kuwa na charger zile za DC au Kobe za DC kama dharura pia.

Soler kwa maisha ya sasa hiyo invetor ni option tu siyo ya lazima.
Kwenye dc hupat chaja ya 33W
 
Ni chaja hiyo. Utahitaji
Kama nimekuelewa, ili battery ya simu iwe salama nikichajia kwenye solar kwa kutumia chaja ya AC iliyokuja na simu pamoja na uwepo wa inverter inayo badili umeme wa DC kuwa AC bado nitahitaji hiyo adopter ya 230v!

Yani kabla umeme wa solar kutoka kwenye inverter kwenda kwenye vifaa vya AC lazima ianze hiyo adopter si ndio mkuu?

Pia hiyo adopter ni hizi hizi plug za kawaida za tronix?
 
Kama nimekuelewa, ili battery ya simu iwe salama nikichajia kwenye solar kwa kutumia chaja ya AC iliyokuja na simu pamoja na uwepo wa inverter inayo badili umeme wa DC kuwa AC bado nitahitaji hiyo adopter ya 230v!

Yani kabla umeme wa solar kutoka kwenye inverter kwenda kwenye vifaa vya AC lazima ianze hiyo adopter si ndio mkuu?

Pia hiyo adopter ni hizi hizi plug za kawaida za tronix?
yea, kichwa cha chaja ndiyo adapter, sio top plug
 

Attachments

  • A8D26BD1-30E4-4C12-A19E-5FD72E8FDE62.jpeg
    A8D26BD1-30E4-4C12-A19E-5FD72E8FDE62.jpeg
    10.4 KB · Views: 8
Uko sahihi unacho experience, obviously expected.

Problem is USB port ya charge controller, kobe na pweza charger aren’t actually phone chargers bali ni 5V DC source.

1. Technically ni DC source ambayo hairegulate voltage required by the phone BMS.
2. Lower level engineering used


Follow me as i dig a little deeper into electronics. I’ll try to lean in a layman way.

Mobile phones battery ni Lithium ion battery.

Charging cycles za li-ion battery zinakua dictated na BMS firmware iliyopo kwenye simu. Ili Battery ichaji, 5V DC source inatakiwa iwe enginered clean, close to zero voltage fluctuations.
Otherwise BMS itakua ina ruhusu power system relay ON-OFF based on cleanliness ya voltage. The number of times it disconnects power, the longer the battery % stumbles.

Overcharge ina rise temperature leading to fire explosion of Li-ion, eventually.

AC adapters ziko precisely engineered, undoubtedly.

Electrochemistry ya hii battery inaruhusu battery ichajiwe to full charge kwa variable time with some other variables kept constant under CCCV algorithm.


Kwa maana hiyo sasa battery ya simu ya 4000mAh (4 Ampere hour) inamaanisha hii battery inaweza kujaa roughly kwa lisaa kama inapata 4 Ampere kutoka kwenye charger, inaweza kujaa kwa masaa 2 kama ikipata 2A kutoka kwenye charger, inaweza kujaa masaa 3 kama ikipata 1.3A kutoka kwenye chaja, etc.

There’s time limit. Taking too long kills a battery.

While producing these amps, voltage should not surge.

Solutions.
1. While 5V source is not clean, tumia original USB cable (thicker) ku reduce voltage drops.
2. Kama simu ya gharama, Tafuta 50W micro inverter specifically for phone charging, hapo utatumia AC adapter ya kawaida. Everything will be fine.
Mkuu umetisha sana, na sisi ambao hatujakupata vizuri tuna comment wapi? 😂🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom