Wataalam walioko kwenye Ajira za serikali ni mambumbu ukilinganisha na hawa wanaojiajiri huku kitaa.

Wataalam walioko kwenye Ajira za serikali ni mambumbu ukilinganisha na hawa wanaojiajiri huku kitaa.

Hakuna IT anapitia psrs alafu anakua kilaza....hao walipata kabla ya mfumo au kwa connection...
Practical za psrs kama hujui huwez kubahatisha
Itakua hao sasa, jamaa anachojua nikuelekeza watu kulogin kwenye HOTHOMIS na kuwasha na kuzima router .,..Aibu kabisa
 
Habari zenu wakuu!?
Natuamini mko pouwa kama unaumwa au una smongo wa mawazo basi polee mkuu, yanamuda tu yatakuwa poua.
Niende kwenye maada. Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya ambapo kwa kuona na kusikia nimekumbana nao. Nianze na haya maeneo ambayo kiukweli ni janga kubwa!

Wataalamu wa Tehama. (IT)
Kuna siku nikiwa nafanya kazi kama kujitolea katika hospitali fulani mkoani Arusha, kulitokea hitilafu ya mfumo wa Kuendesha na kutunza Kumbukumbu za huduma za afya zinazotolewa kituoni hapo. Tukamjulisha IT juu ya changamoto hiyo, jamaa ni mnene likitanbi hilooo, jamaa akaja akachungulia akasema ngoja nitakuja baadae nirekebishe ile baadae mwamba akarudi baada ya kurudi jamaa kaanza kufungua browser na kuanza kusearch ...How to troubleshoot ...... ! Mbele yetu na jamaa jasho likawa linamtoka kabisa. Na huyu mwamba ana Shahada ya Computer science. Akaendelea kuangalia mara akakutana na video ya mhindi mmoja anaelezea namna kutibu hilo tatizo. Jamaa akafunga browser akarudi kwenye system akajaribu wapii. Baadae ikabidi ampigie jamaa mmoja ni freelancer ana office yake hapo Mjini jamaa alipokuja akaingia kwenye system akafanya kama nusu saa hivi mambo yakarudi. Yeye jamaa mwenye likitambi lake akampatia jamaa hela ya maji kwa sababu wanajuana na kama washikaji wanajuana. Muna mwingine huku Halmashauri nilipo huyu IT anachojua ni kuelekeza namna ya kufungua Akaunti ya GOTHOMIS ila ikitokea error yoyote hajui. Anaitwa IT, mmh sasa hizi shahada na stashahada mlipataje wakuu au ndio ajira za kupeana tu. Ovyooo sana.

Kada ya Afya
Kuna njemba mmoja nilikuwa nafanya nayo kazi, Huyu ni mfamasia bhana. Huyu mwamba ni Aibu, utasikia mimi ni mfamasia blah blah ilaukija kwenye shule yupo empty anachojua nikuingiza dawa na vifaa tiba kwenye ledger kazi ambayo hata mtu aliyesoma procurement anaweza kuifanya. Na ukienda kuulizia matumizi ya Dawa ikiwemo na madhara yake kwa wafamasia waliopo mtaani wanajua vitu ila hizi njema huku kwenye mfumo hamna. Nawaza tu kwanini inakua hivi ?

Maafisa Biashara.
Hawa jamaa wanachojua ni kukutolea control number ya Leseni na service levy ila kukushauri namna ambavyo ungefanya ili ku boost biashara yako ili waweze kukusanya mapato bila kipengele hamna. Yaani mijamaa inachojua ni kutengeneza control number. Wazee, hebu zitumieni shule zenu kusaidia wafanya biashara au hamuna kitu kwa kuchwa mnachojua ni kutoa control number na kufungia maduka kama hajalipia service levy au leseni.

Walimu [emoji1]
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?

Wakadarasi nao mule mule. [emoji38]
Wakandarasi jamii na wakandarasi wa majengo walioko kwenye Halmashauri daah ni masikitiko asee. Kila siku kwenye maredio wanalalamikiwa kwa kusimamia ujenzi ambao majengo yake yana ubora wa chini wakati mwingine kuna watu wanaswekwa ndani. Lakini wakandarasi walioko kwenye makampuni bianfsi ni tofauti. Ishu ni nini wakuu?

Shida ni nini ? Mifumo ya usaili au mifumo ya elimu yetu inakasoro mahala fulani ?
Punguza hasirà kaka za kukosa ajira ,hao walimu wa private unaowasifia kwanini wanawachuja wanafunzi kwa interview na kuwawekea wastani kila kidato kwanini wasiwafundishe wote halafu mwishoni tuone matokeò
 
Walimu [emoji1]
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?


𝐔𝐬𝐢𝐦𝐚𝐦𝐢𝐳𝐢 𝐦𝐛𝐨𝐯𝐮

𝐦𝐢𝐮𝐧𝐝𝐨𝐦𝐛𝐢𝐧𝐮 𝐦𝐛𝐨𝐯𝐮

𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 200 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐤𝐨𝐧𝐝𝐨 𝐦𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐡𝐚𝐝𝐢 𝐦𝐰𝐥 𝐤𝐮𝐤𝐚𝐭𝐚 𝐭𝐚𝐦𝐚𝐚.

𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 𝐤𝐢𝐝𝐮𝐦𝐮 𝐦𝐟𝐚𝐠𝐢𝐨 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐭𝐨𝐤𝐚 𝐦𝐚𝐳𝐢𝐧𝐠𝐢𝐫𝐚 𝐲𝐚𝐬𝐢𝐲𝐨𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐚𝐟𝐲𝐚 𝐟𝐮𝐥𝐥 𝐦𝐚𝐬𝐭𝐫𝐞𝐬𝐬 𝐭𝐨𝐟𝐚𝐮𝐭𝐢 𝐧𝐚 𝐲𝐮𝐥𝐞 𝐚𝐧𝐚𝐲𝐞𝐩𝐞𝐥𝐞𝐤𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐕8 𝐬𝐡𝐮𝐥𝐞𝐧𝐢

𝐖𝐚𝐥𝐢𝐦𝐮 𝐰𝐚𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐬𝐡𝐮𝐥𝐞 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 1000 𝐎𝐯𝐚
Hao wa private unaowasifia kwani wamesoma vyuo gani? Si hivihivi kama ni wazuri kiasi hicho kwanini wanafunzi wanawekewa interview na wastani kila kidato? Wawafundishe wote kama sisi tunaopokea kila mtu ,private ni biashara
 
Kwan ww umesoma chuo na shule zipi private au gov?
pili ukiwa hujaajiriwa lazima ufanye kazi kwa shauku kubwa. Ukipata ajira utabweteka tu na unaendana jinsi watu wanavyoenda na ww utaonekana kilaza.
Ukijifanya mjuaji utasahau hadi njia ya kurudi kwenu.

𝐃𝐡𝐚𝐫𝐚𝐮 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐳𝐢𝐭𝐚𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐮𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐞 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐨𝐥𝐞𝐚. Wale unaowaona vilaza ndio wenye makoneksheni wee endelea KUJIONA UNA UWEZO KULIKO YALE YENYE UWEZO YALIYOPO JUU YA UWEZO WAKO.

kama hujaelewa mtafute Poor Brain To yeye dronedrake Intelligent businessman Tlaatlaah Evelyn Salt Mamndenyi
Aaahaaw
 
Subir uone walimu na watu wa afya wanaopita psrs alafu ulinganishe na wale zoazoa
 
Punguza hasirà kaka za kukosa ajira ,hao walimu wa private unaowasifia kwanini wanawachuja wanafunzi kwa interview na kuwawekea wastani kila kidato kwanini wasiwafundishe wote halafu mwishoni tuone

Hao wa private unaowasifia kwani wamesoma vyuo gani? Si hivihivi kama ni wazuri kiasi hicho kwanini wanafunzi wanawekewa interview na wastani kila kidato? Wawafundishe wote kama sisi tunaopokea kila mtu ,private ni biashara
Hoja hapa ni kutokuwa creative na innovative kwenye maeneo yao ya kazi. Ni mwendo wa kufanya ordinary na kubaki mbumbumbu. Michujo ipo ili wale ambao hawana sifa wasiendelee mbele wapikwe tena upya ili wakiiva wanasogea mbele.
 
Habari zenu wakuu!?
Natuamini mko pouwa kama unaumwa au una smongo wa mawazo basi polee mkuu, yanamuda tu yatakuwa poua.
Niende kwenye maada. Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya ambapo kwa kuona na kusikia nimekumbana nao. Nianze na haya maeneo ambayo kiukweli ni janga kubwa!

Wataalamu wa Tehama. (IT)
Kuna siku nikiwa nafanya kazi kama kujitolea katika hospitali fulani mkoani Arusha, kulitokea hitilafu ya mfumo wa Kuendesha na kutunza Kumbukumbu za huduma za afya zinazotolewa kituoni hapo. Tukamjulisha IT juu ya changamoto hiyo, jamaa ni mnene likitanbi hilooo, jamaa akaja akachungulia akasema ngoja nitakuja baadae nirekebishe ile baadae mwamba akarudi baada ya kurudi jamaa kaanza kufungua browser na kuanza kusearch ...How to troubleshoot ...... ! Mbele yetu na jamaa jasho likawa linamtoka kabisa. Na huyu mwamba ana Shahada ya Computer science. Akaendelea kuangalia mara akakutana na video ya mhindi mmoja anaelezea namna kutibu hilo tatizo. Jamaa akafunga browser akarudi kwenye system akajaribu wapii. Baadae ikabidi ampigie jamaa mmoja ni freelancer ana office yake hapo Mjini jamaa alipokuja akaingia kwenye system akafanya kama nusu saa hivi mambo yakarudi. Yeye jamaa mwenye likitambi lake akampatia jamaa hela ya maji kwa sababu wanajuana na kama washikaji wanajuana. Muna mwingine huku Halmashauri nilipo huyu IT anachojua ni kuelekeza namna ya kufungua Akaunti ya GOTHOMIS ila ikitokea error yoyote hajui. Anaitwa IT, mmh sasa hizi shahada na stashahada mlipataje wakuu au ndio ajira za kupeana tu. Ovyooo sana.

Kada ya Afya
Kuna njemba mmoja nilikuwa nafanya nayo kazi, Huyu ni mfamasia bhana. Huyu mwamba ni Aibu, utasikia mimi ni mfamasia blah blah ilaukija kwenye shule yupo empty anachojua nikuingiza dawa na vifaa tiba kwenye ledger kazi ambayo hata mtu aliyesoma procurement anaweza kuifanya. Na ukienda kuulizia matumizi ya Dawa ikiwemo na madhara yake kwa wafamasia waliopo mtaani wanajua vitu ila hizi njema huku kwenye mfumo hamna. Nawaza tu kwanini inakua hivi ?

Maafisa Biashara.
Hawa jamaa wanachojua ni kukutolea control number ya Leseni na service levy ila kukushauri namna ambavyo ungefanya ili ku boost biashara yako ili waweze kukusanya mapato bila kipengele hamna. Yaani mijamaa inachojua ni kutengeneza control number. Wazee, hebu zitumieni shule zenu kusaidia wafanya biashara au hamuna kitu kwa kuchwa mnachojua ni kutoa control number na kufungia maduka kama hajalipia service levy au leseni.

Walimu 😄
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?

Wakadarasi nao mule mule. 😆
Wakandarasi jamii na wakandarasi wa majengo walioko kwenye Halmashauri daah ni masikitiko asee. Kila siku kwenye maredio wanalalamikiwa kwa kusimamia ujenzi ambao majengo yake yana ubora wa chini wakati mwingine kuna watu wanaswekwa ndani. Lakini wakandarasi walioko kwenye makampuni bianfsi ni tofauti. Ishu ni nini wakuu?

Shida ni nini ? Mifumo ya usaili au mifumo ya elimu yetu inakasoro mahala fulani ?
ni kwasababu tu wewe umekosa hizo ajira mzee, usiwatukane ivyo, wengine wake zetu wapo huko. kuwa na heshima basi.
 
Basi hao IT ni wale walioko huko Wizarani ila tulionao huku field yaani ni kama tu hawa wanaoweka nyimbo kwenye flash. Mtu unamwambia kuna document yangu imeliwa na virus naomba unisaidie kui retrieve jamaa linaanza ku google how to retrieve damaged files..mbele yetu nikawa nawaza sijui huyu mwamba ni IT kweli au mhuni mmoja tu mchoma cd na kuweka nyimbo kwenye flash kazi wanazozijua ni kuweka Windows na sio zote siku hiyo ukija MacBook utakoma atakukalisha anagoogle kila hatua, ovyo kabisa.
Daaah aiseee
 
Habari zenu wakuu!?
Natuamini mko pouwa kama unaumwa au una smongo wa mawazo basi polee mkuu, yanamuda tu yatakuwa poua.
Niende kwenye maada. Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya ambapo kwa kuona na kusikia nimekumbana nao. Nianze na haya maeneo ambayo kiukweli ni janga kubwa!

Wataalamu wa Tehama. (IT)
Kuna siku nikiwa nafanya kazi kama kujitolea katika hospitali fulani mkoani Arusha, kulitokea hitilafu ya mfumo wa Kuendesha na kutunza Kumbukumbu za huduma za afya zinazotolewa kituoni hapo. Tukamjulisha IT juu ya changamoto hiyo, jamaa ni mnene likitanbi hilooo, jamaa akaja akachungulia akasema ngoja nitakuja baadae nirekebishe ile baadae mwamba akarudi baada ya kurudi jamaa kaanza kufungua browser na kuanza kusearch ...How to troubleshoot ...... ! Mbele yetu na jamaa jasho likawa linamtoka kabisa. Na huyu mwamba ana Shahada ya Computer science. Akaendelea kuangalia mara akakutana na video ya mhindi mmoja anaelezea namna kutibu hilo tatizo. Jamaa akafunga browser akarudi kwenye system akajaribu wapii. Baadae ikabidi ampigie jamaa mmoja ni freelancer ana office yake hapo Mjini jamaa alipokuja akaingia kwenye system akafanya kama nusu saa hivi mambo yakarudi. Yeye jamaa mwenye likitambi lake akampatia jamaa hela ya maji kwa sababu wanajuana na kama washikaji wanajuana. Muna mwingine huku Halmashauri nilipo huyu IT anachojua ni kuelekeza namna ya kufungua Akaunti ya GOTHOMIS ila ikitokea error yoyote hajui. Anaitwa IT, mmh sasa hizi shahada na stashahada mlipataje wakuu au ndio ajira za kupeana tu. Ovyooo sana.

Kada ya Afya
Kuna njemba mmoja nilikuwa nafanya nayo kazi, Huyu ni mfamasia bhana. Huyu mwamba ni Aibu, utasikia mimi ni mfamasia blah blah ilaukija kwenye shule yupo empty anachojua nikuingiza dawa na vifaa tiba kwenye ledger kazi ambayo hata mtu aliyesoma procurement anaweza kuifanya. Na ukienda kuulizia matumizi ya Dawa ikiwemo na madhara yake kwa wafamasia waliopo mtaani wanajua vitu ila hizi njema huku kwenye mfumo hamna. Nawaza tu kwanini inakua hivi ?

Maafisa Biashara.
Hawa jamaa wanachojua ni kukutolea control number ya Leseni na service levy ila kukushauri namna ambavyo ungefanya ili ku boost biashara yako ili waweze kukusanya mapato bila kipengele hamna. Yaani mijamaa inachojua ni kutengeneza control number. Wazee, hebu zitumieni shule zenu kusaidia wafanya biashara au hamuna kitu kwa kuchwa mnachojua ni kutoa control number na kufungia maduka kama hajalipia service levy au leseni.

Walimu [emoji1]
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?

Wakadarasi nao mule mule. [emoji38]
Wakandarasi jamii na wakandarasi wa majengo walioko kwenye Halmashauri daah ni masikitiko asee. Kila siku kwenye maredio wanalalamikiwa kwa kusimamia ujenzi ambao majengo yake yana ubora wa chini wakati mwingine kuna watu wanaswekwa ndani. Lakini wakandarasi walioko kwenye makampuni bianfsi ni tofauti. Ishu ni nini wakuu?

Shida ni nini ? Mifumo ya usaili au mifumo ya elimu yetu inakasoro mahala fulani ?
Ahsante kwa kutunanga, tunaanza kujirekebisha kwa kupiga shule ku update oblongata.

Hata hivyo ZINGATIA MAOKOTO nchi yenyewe hii ukiwa serious nayo unaweza kuchanganyikiwa mwenyewe
 
Ni kweli kabisa,ila ungetuacha tu maana huna msaada kwetu...tunaridhika na hikihiki maisha yanaendelea
Sasa Hadi kusema likitambi unamaanisha Nini dogo!! Acha dharau, hata wewe itakuwa na likitambi
 
Kwan ww umesoma chuo na shule zipi private au gov?
pili ukiwa hujaajiriwa lazima ufanye kazi kwa shauku kubwa. Ukipata ajira utabweteka tu na unaendana jinsi watu wanavyoenda na ww utaonekana kilaza.
Ukijifanya mjuaji utasahau hadi njia ya kurudi kwenu.

𝐃𝐡𝐚𝐫𝐚𝐮 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐳𝐢𝐭𝐚𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐮𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐞 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐨𝐥𝐞𝐚. Wale unaowaona vilaza ndio wenye makoneksheni wee endelea KUJIONA UNA UWEZO KULIKO YALE YENYE UWEZO YALIYOPO JUU YA UWEZO WAKO.

kama hujaelewa mtafute Poor Brain To yeye dronedrake Intelligent businessman Tlaatlaah Evelyn Salt Mamndenyi
mentality za muafrica
 
Walimu 😄
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?


𝐔𝐬𝐢𝐦𝐚𝐦𝐢𝐳𝐢 𝐦𝐛𝐨𝐯𝐮

𝐦𝐢𝐮𝐧𝐝𝐨𝐦𝐛𝐢𝐧𝐮 𝐦𝐛𝐨𝐯𝐮

𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 200 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐤𝐨𝐧𝐝𝐨 𝐦𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐡𝐚𝐝𝐢 𝐦𝐰𝐥 𝐤𝐮𝐤𝐚𝐭𝐚 𝐭𝐚𝐦𝐚𝐚.

𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 𝐤𝐢𝐝𝐮𝐦𝐮 𝐦𝐟𝐚𝐠𝐢𝐨 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐭𝐨𝐤𝐚 𝐦𝐚𝐳𝐢𝐧𝐠𝐢𝐫𝐚 𝐲𝐚𝐬𝐢𝐲𝐨𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐚𝐟𝐲𝐚 𝐟𝐮𝐥𝐥 𝐦𝐚𝐬𝐭𝐫𝐞𝐬𝐬 𝐭𝐨𝐟𝐚𝐮𝐭𝐢 𝐧𝐚 𝐲𝐮𝐥𝐞 𝐚𝐧𝐚𝐲𝐞𝐩𝐞𝐥𝐞𝐤𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐕8 𝐬𝐡𝐮𝐥𝐞𝐧𝐢

𝐖𝐚𝐥𝐢𝐦𝐮 𝐰𝐚𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐬𝐡𝐮𝐥𝐞 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 1000 𝐎𝐯𝐚
Hapa tatizo tunalielekeza kwa Serikali. Walimu wa Private ni wazima sana kwenye masomo. Kwa mfano,mwalimu wa Physics anayefundisha fedha school yupo pouwa sana huwezi mkuta anababaisha kama hawa waliopo huku kwenye shule za serikali. Nakumbuka nikiwa Advance kuna mnoko mmoja wa kinyantuzu mbuzi sana yule jamaa. Yaani kuna jamaa alikujaga kutufundisha alikuwa anajua eti akataka yeye ndio awe mwalimu wa Tuition akaanza kumpiga vita mwamba ikiwemo kuzuia wanafunzi kwenda kwenye hiyo center. Sasa huyu mwalimu wa kidumu na mfagio ni mbovu mbovu sijawahi kuona. Anajidai eti nilisoma PCB nikafaulu ila ukipeleka maswali ya Chem au Physics au Math hamnamo. Wivu tu amejaza mashabu ya kula .mshahara wa Bure huku haleti chachu kwenye matokeo ya wanafunzi.
 
Kwan ww umesoma chuo na shule zipi private au gov?
pili ukiwa hujaajiriwa lazima ufanye kazi kwa shauku kubwa. Ukipata ajira utabweteka tu na unaendana jinsi watu wanavyoenda na ww utaonekana kilaza.
Ukijifanya mjuaji utasahau hadi njia ya kurudi kwenu.

𝐃𝐡𝐚𝐫𝐚𝐮 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐳𝐢𝐭𝐚𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐮𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐞 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐨𝐥𝐞𝐚. Wale unaowaona vilaza ndio wenye makoneksheni wee endelea KUJIONA UNA UWEZO KULIKO YALE YENYE UWEZO YALIYOPO JUU YA UWEZO WAKO.

kama hujaelewa mtafute Poor Brain To yeye dronedrake Intelligent businessman Tlaatlaah Evelyn Salt Mamndenyi
Mawazo ya hovyo sana haya, na ndio ukweli wenyewe kwenye akili zetu waafrika. Unashindwa kufanya kazi kwa Bidii unaogopa kurogwa. Kazi sana kiongozi
 
Back
Top Bottom