Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
- Thread starter
-
- #21
Itakua hao sasa, jamaa anachojua nikuelekeza watu kulogin kwenye HOTHOMIS na kuwasha na kuzima router .,..Aibu kabisaHakuna IT anapitia psrs alafu anakua kilaza....hao walipata kabla ya mfumo au kwa connection...
Practical za psrs kama hujui huwez kubahatisha
Zaman halmashaur walkuwa wanaajir wenyewe...lkn ukipita kwenye mfumo wa psrs, huwez kuwa mweupe ndio maana psrs inapigwa vitaItakua hao sasa, jamaa anachojua nikuelekeza watu kulogin kwenye HOTHOMIS na kuwasha na kuzima router .,..Aibu kabisa
Inawezekana kweli, maana hii njemba ni age go. Kama sio 45+ basi atakua 43 hivi. Jamaa analikitambi la BiaZaman halmashaur walkuwa wanaajir wenyewe...lkn ukipita kwenye mfumo wa psrs, huwez kuwa mweupe ndio maana psrs inapigwa vita
Punguza hasirร kaka za kukosa ajira ,hao walimu wa private unaowasifia kwanini wanawachuja wanafunzi kwa interview na kuwawekea wastani kila kidato kwanini wasiwafundishe wote halafu mwishoni tuone matokeรฒHabari zenu wakuu!?
Natuamini mko pouwa kama unaumwa au una smongo wa mawazo basi polee mkuu, yanamuda tu yatakuwa poua.
Niende kwenye maada. Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya ambapo kwa kuona na kusikia nimekumbana nao. Nianze na haya maeneo ambayo kiukweli ni janga kubwa!
Wataalamu wa Tehama. (IT)
Kuna siku nikiwa nafanya kazi kama kujitolea katika hospitali fulani mkoani Arusha, kulitokea hitilafu ya mfumo wa Kuendesha na kutunza Kumbukumbu za huduma za afya zinazotolewa kituoni hapo. Tukamjulisha IT juu ya changamoto hiyo, jamaa ni mnene likitanbi hilooo, jamaa akaja akachungulia akasema ngoja nitakuja baadae nirekebishe ile baadae mwamba akarudi baada ya kurudi jamaa kaanza kufungua browser na kuanza kusearch ...How to troubleshoot ...... ! Mbele yetu na jamaa jasho likawa linamtoka kabisa. Na huyu mwamba ana Shahada ya Computer science. Akaendelea kuangalia mara akakutana na video ya mhindi mmoja anaelezea namna kutibu hilo tatizo. Jamaa akafunga browser akarudi kwenye system akajaribu wapii. Baadae ikabidi ampigie jamaa mmoja ni freelancer ana office yake hapo Mjini jamaa alipokuja akaingia kwenye system akafanya kama nusu saa hivi mambo yakarudi. Yeye jamaa mwenye likitambi lake akampatia jamaa hela ya maji kwa sababu wanajuana na kama washikaji wanajuana. Muna mwingine huku Halmashauri nilipo huyu IT anachojua ni kuelekeza namna ya kufungua Akaunti ya GOTHOMIS ila ikitokea error yoyote hajui. Anaitwa IT, mmh sasa hizi shahada na stashahada mlipataje wakuu au ndio ajira za kupeana tu. Ovyooo sana.
Kada ya Afya
Kuna njemba mmoja nilikuwa nafanya nayo kazi, Huyu ni mfamasia bhana. Huyu mwamba ni Aibu, utasikia mimi ni mfamasia blah blah ilaukija kwenye shule yupo empty anachojua nikuingiza dawa na vifaa tiba kwenye ledger kazi ambayo hata mtu aliyesoma procurement anaweza kuifanya. Na ukienda kuulizia matumizi ya Dawa ikiwemo na madhara yake kwa wafamasia waliopo mtaani wanajua vitu ila hizi njema huku kwenye mfumo hamna. Nawaza tu kwanini inakua hivi ?
Maafisa Biashara.
Hawa jamaa wanachojua ni kukutolea control number ya Leseni na service levy ila kukushauri namna ambavyo ungefanya ili ku boost biashara yako ili waweze kukusanya mapato bila kipengele hamna. Yaani mijamaa inachojua ni kutengeneza control number. Wazee, hebu zitumieni shule zenu kusaidia wafanya biashara au hamuna kitu kwa kuchwa mnachojua ni kutoa control number na kufungia maduka kama hajalipia service levy au leseni.
Walimu [emoji1]
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?
Wakadarasi nao mule mule. [emoji38]
Wakandarasi jamii na wakandarasi wa majengo walioko kwenye Halmashauri daah ni masikitiko asee. Kila siku kwenye maredio wanalalamikiwa kwa kusimamia ujenzi ambao majengo yake yana ubora wa chini wakati mwingine kuna watu wanaswekwa ndani. Lakini wakandarasi walioko kwenye makampuni bianfsi ni tofauti. Ishu ni nini wakuu?
Shida ni nini ? Mifumo ya usaili au mifumo ya elimu yetu inakasoro mahala fulani ?
Apunguze wivuMadogo mnaojitolea punguzeni shoboooo! Wenzako wanalipwa na wanaopanda vyeo.
Suburi siku ukikazwa utajua hao watu ni muhimu au la
Hao wa private unaowasifia kwani wamesoma vyuo gani? Si hivihivi kama ni wazuri kiasi hicho kwanini wanafunzi wanawekewa interview na wastani kila kidato? Wawafundishe wote kama sisi tunaopokea kila mtu ,private ni biasharaWalimu [emoji1]
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?
๐๐ฌ๐ข๐ฆ๐๐ฆ๐ข๐ณ๐ข ๐ฆ๐๐จ๐ฏ๐ฎ
๐ฆ๐ข๐ฎ๐ง๐๐จ๐ฆ๐๐ข๐ง๐ฎ ๐ฆ๐๐จ๐ฏ๐ฎ
๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ข 200 ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐ค๐จ๐ง๐๐จ ๐ฆ๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐ฆ๐ฐ๐ฅ ๐ค๐ฎ๐ค๐๐ญ๐ ๐ญ๐๐ฆ๐๐.
๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ค๐ข๐๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฆ๐๐๐ ๐ข๐จ ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ข ๐ฐ๐๐ง๐๐ญ๐จ๐ค๐ ๐ฆ๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ซ๐ ๐ฒ๐๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐๐๐ฒ๐ ๐๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐ฆ๐๐ฌ๐ญ๐ซ๐๐ฌ๐ฌ ๐ญ๐จ๐๐๐ฎ๐ญ๐ข ๐ง๐ ๐ฒ๐ฎ๐ฅ๐ ๐๐ง๐๐ฒ๐๐ฉ๐๐ฅ๐๐ค๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐8 ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ฅ๐๐ง๐ข
๐๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฐ๐๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ฅ๐ ๐ฒ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข 1000 ๐๐ฏ๐
basi hao hawapend kukosolewa...ukimwambia unatakiwa ufanye hiv bas hapo unaweza kuondokaInawezekana kweli, maana hii njemba ni age go. Kama sio 45+ basi atakua 43 hivi. Jamaa analikitambi la Bia
AaahaawKwan ww umesoma chuo na shule zipi private au gov?
pili ukiwa hujaajiriwa lazima ufanye kazi kwa shauku kubwa. Ukipata ajira utabweteka tu na unaendana jinsi watu wanavyoenda na ww utaonekana kilaza.
Ukijifanya mjuaji utasahau hadi njia ya kurudi kwenu.
๐๐ก๐๐ซ๐๐ฎ ๐ณ๐๐ค๐จ ๐ณ๐ข๐ญ๐๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฎ๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐ญ๐จ๐ฅ๐๐. Wale unaowaona vilaza ndio wenye makoneksheni wee endelea KUJIONA UNA UWEZO KULIKO YALE YENYE UWEZO YALIYOPO JUU YA UWEZO WAKO.
kama hujaelewa mtafute Poor Brain To yeye dronedrake Intelligent businessman Tlaatlaah Evelyn Salt Mamndenyi
Madogo jau sana. Wasubiri time yao itafika tu sio makasiriko humu jfMadogo mnaojitolea punguzeni shoboooo! Wenzako wanalipwa na wanaopanda vyeo.
Suburi siku ukikazwa utajua hao watu ni muhimu au la
Punguza hasirร kaka za kukosa ajira ,hao walimu wa private unaowasifia kwanini wanawachuja wanafunzi kwa interview na kuwawekea wastani kila kidato kwanini wasiwafundishe wote halafu mwishoni tuone
Hoja hapa ni kutokuwa creative na innovative kwenye maeneo yao ya kazi. Ni mwendo wa kufanya ordinary na kubaki mbumbumbu. Michujo ipo ili wale ambao hawana sifa wasiendelee mbele wapikwe tena upya ili wakiiva wanasogea mbele.Hao wa private unaowasifia kwani wamesoma vyuo gani? Si hivihivi kama ni wazuri kiasi hicho kwanini wanafunzi wanawekewa interview na wastani kila kidato? Wawafundishe wote kama sisi tunaopokea kila mtu ,private ni biashara
ni kwasababu tu wewe umekosa hizo ajira mzee, usiwatukane ivyo, wengine wake zetu wapo huko. kuwa na heshima basi.Habari zenu wakuu!?
Natuamini mko pouwa kama unaumwa au una smongo wa mawazo basi polee mkuu, yanamuda tu yatakuwa poua.
Niende kwenye maada. Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya ambapo kwa kuona na kusikia nimekumbana nao. Nianze na haya maeneo ambayo kiukweli ni janga kubwa!
Wataalamu wa Tehama. (IT)
Kuna siku nikiwa nafanya kazi kama kujitolea katika hospitali fulani mkoani Arusha, kulitokea hitilafu ya mfumo wa Kuendesha na kutunza Kumbukumbu za huduma za afya zinazotolewa kituoni hapo. Tukamjulisha IT juu ya changamoto hiyo, jamaa ni mnene likitanbi hilooo, jamaa akaja akachungulia akasema ngoja nitakuja baadae nirekebishe ile baadae mwamba akarudi baada ya kurudi jamaa kaanza kufungua browser na kuanza kusearch ...How to troubleshoot ...... ! Mbele yetu na jamaa jasho likawa linamtoka kabisa. Na huyu mwamba ana Shahada ya Computer science. Akaendelea kuangalia mara akakutana na video ya mhindi mmoja anaelezea namna kutibu hilo tatizo. Jamaa akafunga browser akarudi kwenye system akajaribu wapii. Baadae ikabidi ampigie jamaa mmoja ni freelancer ana office yake hapo Mjini jamaa alipokuja akaingia kwenye system akafanya kama nusu saa hivi mambo yakarudi. Yeye jamaa mwenye likitambi lake akampatia jamaa hela ya maji kwa sababu wanajuana na kama washikaji wanajuana. Muna mwingine huku Halmashauri nilipo huyu IT anachojua ni kuelekeza namna ya kufungua Akaunti ya GOTHOMIS ila ikitokea error yoyote hajui. Anaitwa IT, mmh sasa hizi shahada na stashahada mlipataje wakuu au ndio ajira za kupeana tu. Ovyooo sana.
Kada ya Afya
Kuna njemba mmoja nilikuwa nafanya nayo kazi, Huyu ni mfamasia bhana. Huyu mwamba ni Aibu, utasikia mimi ni mfamasia blah blah ilaukija kwenye shule yupo empty anachojua nikuingiza dawa na vifaa tiba kwenye ledger kazi ambayo hata mtu aliyesoma procurement anaweza kuifanya. Na ukienda kuulizia matumizi ya Dawa ikiwemo na madhara yake kwa wafamasia waliopo mtaani wanajua vitu ila hizi njema huku kwenye mfumo hamna. Nawaza tu kwanini inakua hivi ?
Maafisa Biashara.
Hawa jamaa wanachojua ni kukutolea control number ya Leseni na service levy ila kukushauri namna ambavyo ungefanya ili ku boost biashara yako ili waweze kukusanya mapato bila kipengele hamna. Yaani mijamaa inachojua ni kutengeneza control number. Wazee, hebu zitumieni shule zenu kusaidia wafanya biashara au hamuna kitu kwa kuchwa mnachojua ni kutoa control number na kufungia maduka kama hajalipia service levy au leseni.
Walimu ๐
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?
Wakadarasi nao mule mule. ๐
Wakandarasi jamii na wakandarasi wa majengo walioko kwenye Halmashauri daah ni masikitiko asee. Kila siku kwenye maredio wanalalamikiwa kwa kusimamia ujenzi ambao majengo yake yana ubora wa chini wakati mwingine kuna watu wanaswekwa ndani. Lakini wakandarasi walioko kwenye makampuni bianfsi ni tofauti. Ishu ni nini wakuu?
Shida ni nini ? Mifumo ya usaili au mifumo ya elimu yetu inakasoro mahala fulani ?
Eti madogo wa kujitolea ๐๐๐Madogo jau sana. Wasubiri time yao itafika tu sio makasiriko humu jf
Daaah aiseeeBasi hao IT ni wale walioko huko Wizarani ila tulionao huku field yaani ni kama tu hawa wanaoweka nyimbo kwenye flash. Mtu unamwambia kuna document yangu imeliwa na virus naomba unisaidie kui retrieve jamaa linaanza ku google how to retrieve damaged files..mbele yetu nikawa nawaza sijui huyu mwamba ni IT kweli au mhuni mmoja tu mchoma cd na kuweka nyimbo kwenye flash kazi wanazozijua ni kuweka Windows na sio zote siku hiyo ukija MacBook utakoma atakukalisha anagoogle kila hatua, ovyo kabisa.
Ahsante kwa kutunanga, tunaanza kujirekebisha kwa kupiga shule ku update oblongata.Habari zenu wakuu!?
Natuamini mko pouwa kama unaumwa au una smongo wa mawazo basi polee mkuu, yanamuda tu yatakuwa poua.
Niende kwenye maada. Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya ambapo kwa kuona na kusikia nimekumbana nao. Nianze na haya maeneo ambayo kiukweli ni janga kubwa!
Wataalamu wa Tehama. (IT)
Kuna siku nikiwa nafanya kazi kama kujitolea katika hospitali fulani mkoani Arusha, kulitokea hitilafu ya mfumo wa Kuendesha na kutunza Kumbukumbu za huduma za afya zinazotolewa kituoni hapo. Tukamjulisha IT juu ya changamoto hiyo, jamaa ni mnene likitanbi hilooo, jamaa akaja akachungulia akasema ngoja nitakuja baadae nirekebishe ile baadae mwamba akarudi baada ya kurudi jamaa kaanza kufungua browser na kuanza kusearch ...How to troubleshoot ...... ! Mbele yetu na jamaa jasho likawa linamtoka kabisa. Na huyu mwamba ana Shahada ya Computer science. Akaendelea kuangalia mara akakutana na video ya mhindi mmoja anaelezea namna kutibu hilo tatizo. Jamaa akafunga browser akarudi kwenye system akajaribu wapii. Baadae ikabidi ampigie jamaa mmoja ni freelancer ana office yake hapo Mjini jamaa alipokuja akaingia kwenye system akafanya kama nusu saa hivi mambo yakarudi. Yeye jamaa mwenye likitambi lake akampatia jamaa hela ya maji kwa sababu wanajuana na kama washikaji wanajuana. Muna mwingine huku Halmashauri nilipo huyu IT anachojua ni kuelekeza namna ya kufungua Akaunti ya GOTHOMIS ila ikitokea error yoyote hajui. Anaitwa IT, mmh sasa hizi shahada na stashahada mlipataje wakuu au ndio ajira za kupeana tu. Ovyooo sana.
Kada ya Afya
Kuna njemba mmoja nilikuwa nafanya nayo kazi, Huyu ni mfamasia bhana. Huyu mwamba ni Aibu, utasikia mimi ni mfamasia blah blah ilaukija kwenye shule yupo empty anachojua nikuingiza dawa na vifaa tiba kwenye ledger kazi ambayo hata mtu aliyesoma procurement anaweza kuifanya. Na ukienda kuulizia matumizi ya Dawa ikiwemo na madhara yake kwa wafamasia waliopo mtaani wanajua vitu ila hizi njema huku kwenye mfumo hamna. Nawaza tu kwanini inakua hivi ?
Maafisa Biashara.
Hawa jamaa wanachojua ni kukutolea control number ya Leseni na service levy ila kukushauri namna ambavyo ungefanya ili ku boost biashara yako ili waweze kukusanya mapato bila kipengele hamna. Yaani mijamaa inachojua ni kutengeneza control number. Wazee, hebu zitumieni shule zenu kusaidia wafanya biashara au hamuna kitu kwa kuchwa mnachojua ni kutoa control number na kufungia maduka kama hajalipia service levy au leseni.
Walimu [emoji1]
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?
Wakadarasi nao mule mule. [emoji38]
Wakandarasi jamii na wakandarasi wa majengo walioko kwenye Halmashauri daah ni masikitiko asee. Kila siku kwenye maredio wanalalamikiwa kwa kusimamia ujenzi ambao majengo yake yana ubora wa chini wakati mwingine kuna watu wanaswekwa ndani. Lakini wakandarasi walioko kwenye makampuni bianfsi ni tofauti. Ishu ni nini wakuu?
Shida ni nini ? Mifumo ya usaili au mifumo ya elimu yetu inakasoro mahala fulani ?
Sasa Hadi kusema likitambi unamaanisha Nini dogo!! Acha dharau, hata wewe itakuwa na likitambiNi kweli kabisa,ila ungetuacha tu maana huna msaada kwetu...tunaridhika na hikihiki maisha yanaendelea
umejuaje kama anajitolea mkuu???Madogo mnaojitolea punguzeni shoboooo! Wenzako wanalipwa na wanaopanda vyeo.
Suburi siku ukikazwa utajua hao watu ni muhimu au la
mentality za muafricaKwan ww umesoma chuo na shule zipi private au gov?
pili ukiwa hujaajiriwa lazima ufanye kazi kwa shauku kubwa. Ukipata ajira utabweteka tu na unaendana jinsi watu wanavyoenda na ww utaonekana kilaza.
Ukijifanya mjuaji utasahau hadi njia ya kurudi kwenu.
๐๐ก๐๐ซ๐๐ฎ ๐ณ๐๐ค๐จ ๐ณ๐ข๐ญ๐๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฎ๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐ญ๐จ๐ฅ๐๐. Wale unaowaona vilaza ndio wenye makoneksheni wee endelea KUJIONA UNA UWEZO KULIKO YALE YENYE UWEZO YALIYOPO JUU YA UWEZO WAKO.
kama hujaelewa mtafute Poor Brain To yeye dronedrake Intelligent businessman Tlaatlaah Evelyn Salt Mamndenyi
Hapa tatizo tunalielekeza kwa Serikali. Walimu wa Private ni wazima sana kwenye masomo. Kwa mfano,mwalimu wa Physics anayefundisha fedha school yupo pouwa sana huwezi mkuta anababaisha kama hawa waliopo huku kwenye shule za serikali. Nakumbuka nikiwa Advance kuna mnoko mmoja wa kinyantuzu mbuzi sana yule jamaa. Yaani kuna jamaa alikujaga kutufundisha alikuwa anajua eti akataka yeye ndio awe mwalimu wa Tuition akaanza kumpiga vita mwamba ikiwemo kuzuia wanafunzi kwenda kwenye hiyo center. Sasa huyu mwalimu wa kidumu na mfagio ni mbovu mbovu sijawahi kuona. Anajidai eti nilisoma PCB nikafaulu ila ukipeleka maswali ya Chem au Physics au Math hamnamo. Wivu tu amejaza mashabu ya kula .mshahara wa Bure huku haleti chachu kwenye matokeo ya wanafunzi.Walimu ๐
Hawa jamaa bhana asee, mbinu za ufunidishaji sijui wamesahau au lah. Walimu walioko kwenye shule za private wanafundisha sana na kwa mbinu ambazo kuna muda nawaza hivi walimu walioko privatewalisoma Cuba na walioko huku kwenye kidumu na mfagio ndio waliosoma kwenye vyuo vyetu. Mjitafakari. Mtoto hadi anafika darasa la tano hajui hesabu vizuri na hata kusoma ni kwa shida ila mwalimu hata hajigusi. Wakati mtoto huyo huyo ukimpeleka private akiwa darasa la kwanza anakua anajua mambo mengi. Ni nini shida ?
๐๐ฌ๐ข๐ฆ๐๐ฆ๐ข๐ณ๐ข ๐ฆ๐๐จ๐ฏ๐ฎ
๐ฆ๐ข๐ฎ๐ง๐๐จ๐ฆ๐๐ข๐ง๐ฎ ๐ฆ๐๐จ๐ฏ๐ฎ
๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ข 200 ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐ค๐จ๐ง๐๐จ ๐ฆ๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐ฆ๐ฐ๐ฅ ๐ค๐ฎ๐ค๐๐ญ๐ ๐ญ๐๐ฆ๐๐.
๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ค๐ข๐๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฆ๐๐๐ ๐ข๐จ ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ข ๐ฐ๐๐ง๐๐ญ๐จ๐ค๐ ๐ฆ๐๐ณ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ซ๐ ๐ฒ๐๐ฌ๐ข๐ฒ๐จ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐๐๐ฒ๐ ๐๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐ฆ๐๐ฌ๐ญ๐ซ๐๐ฌ๐ฌ ๐ญ๐จ๐๐๐ฎ๐ญ๐ข ๐ง๐ ๐ฒ๐ฎ๐ฅ๐ ๐๐ง๐๐ฒ๐๐ฉ๐๐ฅ๐๐ค๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐8 ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ฅ๐๐ง๐ข
๐๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฐ๐๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ฅ๐ ๐ฒ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข 1000 ๐๐ฏ๐
Mawazo ya hovyo sana haya, na ndio ukweli wenyewe kwenye akili zetu waafrika. Unashindwa kufanya kazi kwa Bidii unaogopa kurogwa. Kazi sana kiongoziKwan ww umesoma chuo na shule zipi private au gov?
pili ukiwa hujaajiriwa lazima ufanye kazi kwa shauku kubwa. Ukipata ajira utabweteka tu na unaendana jinsi watu wanavyoenda na ww utaonekana kilaza.
Ukijifanya mjuaji utasahau hadi njia ya kurudi kwenu.
๐๐ก๐๐ซ๐๐ฎ ๐ณ๐๐ค๐จ ๐ณ๐ข๐ญ๐๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฎ๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐ญ๐จ๐ฅ๐๐. Wale unaowaona vilaza ndio wenye makoneksheni wee endelea KUJIONA UNA UWEZO KULIKO YALE YENYE UWEZO YALIYOPO JUU YA UWEZO WAKO.
kama hujaelewa mtafute Poor Brain To yeye dronedrake Intelligent businessman Tlaatlaah Evelyn Salt Mamndenyi