Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Gari yangu aina ya toyota liteace ya dieseli ina toa muungurumo mbaya na kutoa moshi.
Pia taa ya check engine inawaka. Fundi wa kwanza akasema tumeweka mafuta machafu hivyo tusafishe tank. Fundi wa pili akasema tununue diesel treatment tuweke, na watatu akasema switch ya kwenye pampu ama pampu zenyewe zimekufa.
Katika hayo nilifanya yote isipokuwa pampu tu ila tatizo bado lipo vile vile. Nikaenda kufanya diagnosis na haya ndio majibu.
Je, yana maana gani?
Pia taa ya check engine inawaka. Fundi wa kwanza akasema tumeweka mafuta machafu hivyo tusafishe tank. Fundi wa pili akasema tununue diesel treatment tuweke, na watatu akasema switch ya kwenye pampu ama pampu zenyewe zimekufa.
Katika hayo nilifanya yote isipokuwa pampu tu ila tatizo bado lipo vile vile. Nikaenda kufanya diagnosis na haya ndio majibu.
Je, yana maana gani?