Wataalamu Msaada wa haraka unahitajika wakuu

Wataalamu Msaada wa haraka unahitajika wakuu

MAWALI

New Member
Joined
Apr 19, 2011
Posts
1
Reaction score
0
Jamani Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 32'Tatizo ninawashwa sana kwanzia kwenye mapaja hadi sehemu nyeti na hasa nyakati za usiku kulala inakuwa tabu.nimejaribu kupima mkojo na STI majibu safi,dr.akanipa tube ya sonadem na dawa za fluconazone lakini wapi ni wiki ya tatu sasa sijapata nafuu,wengine wasema ni joto........yaani sijielewi wakuu naomba msaada kwa anayejiu tiba au amewahi kuugua ugonjwa huu alitumia nini akapona
 
Jamani Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 32'Tatizo ninawashwa sana kwanzia kwenye mapaja hadi sehemu nyeti na hasa nyakati za usiku kulala inakuwa tabu.nimejaribu kupima mkojo na STI majibu safi,dr.akanipa tube ya sonadem na dawa za fluconazone lakini wapi ni wiki ya tatu sasa sijapata nafuu,wengine wasema ni joto........yaani sijielewi wakuu naomba msaada kwa anayejiu tiba au amewahi kuugua ugonjwa huu alitumia nini akapona
Tuanzie hapa: Mara ya mwisho kupiga mechi za mchangani ilikua mwezi wa ngapi? Ulivaa soksi au ulienda peku?
 
pole sana,fanya haya yafutayo kisha nirudishie majibu:

1.Fanya usafi sehemu zako za siri ondoa magugu yote.
2.Fua nguo zako vizuri na hakikisha zimekauka vizuri kabla ya kuvaa tena
3.Usirudie nguo ya ndani.vaa mara moja tu kisha ifue na ikauke vizuri kabla ya kuvaa tena
4.jaribu kuoga mara mbili kwa siku wa kutumia medicated soap
5.kabla ya kuvaa nguo akikisha umejipangusa maji vizuri baada ya kuoga na kukauka vyema kabla ya kuvaa nguo tena
6.Jaribu kulala na nguo pana isiyobana ukitaka kulala au unaweza kuwa unalala ukiwa mtupu mpaka utakapoona umepona



4.
 
Back
Top Bottom