Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,611
- 2,881
Wakuu habari ya nyie, kuna hiki ki redio nimeombwa msaada hapa kukirekebisha, kina shida moja.
Waya ule wa speaker vile vidogo (Sijui ndo wanaviita twitter), pale kwenye ki tobo unapoingia kimekufa, sasa nafikilia hivi inawezakana nikauchukua na kuunga kwenye ule mwingine, tobo lililokufa ni la Right, ili zote mbili zipitiie left, sasa nawaza.
Hakuta kua na shida yoyote kufanya hivo.
Na je, Hilo tobo moja litaweza kusukuma hivyo vi Twitter viwili?
Picha hizi hapa kwa taarifa zaidi.
pia samahanini kwa Uandishi mbovu.
Chief-Mkwawa
dronedrake
Waya ule wa speaker vile vidogo (Sijui ndo wanaviita twitter), pale kwenye ki tobo unapoingia kimekufa, sasa nafikilia hivi inawezakana nikauchukua na kuunga kwenye ule mwingine, tobo lililokufa ni la Right, ili zote mbili zipitiie left, sasa nawaza.
Hakuta kua na shida yoyote kufanya hivo.
Na je, Hilo tobo moja litaweza kusukuma hivyo vi Twitter viwili?
Picha hizi hapa kwa taarifa zaidi.
pia samahanini kwa Uandishi mbovu.
Chief-Mkwawa
dronedrake