Wataalamu wa afya wanahofia kuwa wagonjwa wengi wa Corona wanafariki wakiwa nyumbani bila kujua wanaugua

hata hajafa pia ni maigizo.

unaamini katika maigizo sana.

Hehehe!! Nakumbuka yale maigizo kwamba yuko busy hana muda wa kwenda sijui Kariokoo au Magomeni...hivi mbona huwa hamna hata aibu au hofu ya Mungu, mnaongopa tena msikitini.
Mbelgiji kawakomalia na kuwapumulia mgongoni mpaka mkaachia.....
 
Majirani mshafika Corona wimbi la tatu dah!!

Mpo faster wakati sisi hata wimbi la kwanza hatujalianza...
 
Hehehe!! Nakumbuka yale maigizo kwamba yuko busy hana muda wa kwenda sijui Kariokoo au Magomeni...hivi mbona huwa hamna hata aibu au hofu ya Mungu, mnaongopa tena msikitini.
Mbelgiji kawakomalia na kuwapumulia mgongoni mpaka mkaachia.....

ashindwe kuhangaika na maisha yake anatafuta ganda la ndizi atelezee nalo kama kick!!!!

yule ni traitor tu,ndio maana kautuliza huko ubergiji kwa washkaji zake,lakini ana wafuasi vinumbo kama wewe,hata akisema anapita kuwalamba vitako wanaitikia"ndio mtaalamu"
 

Kawapatia sana yule, kila anachoandika kinatimia, itakua anayo source ya ndani kwa ndani yenu hehehe, hayo marisasi mlimpiga naona hajawahi kupunguza hamaki maana maneno yanayomtoka...ama kwa kweli bora hivyo hakupewa urais maana nahisi angelipiza kisasi.
Kwa sasa ingekua busara apunguze hamaki.
 

hawezi kuwa rais yule.

kwanza kwa hili alikofanya tu anaonekana wazi hajatosha kushika uongozi kama huo.
 
Gazeti lote hilo kumbe linaongelea hofu tu, kudhaniadhania tu, upuuzi mtupu! Badala ya kufanya tracer study kwa hao wagonjwa mliowapima na kuhakikisha kuwa wana corona ili kujiridhisha miisho yao! Mmeshaambiwa kuwa fatality late ni chini ya 2% afu unakuja na hofuhofu zako hapa, kafie mbali na hofuhofu zako! Tz tupo gado! Asante JPM! Rest in peace and power our hero🙏😭!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…