Kuna swali limetokea kunifikirisha sana, nalo ni hili:
Nini kinasababisha uvimbe/kuvimba(swelling). Ninahitaji kufahamu the process of swelling.
Najua zipo sababu nyingi za kuvimba, mfano kung'atwa na nyuki(mfano), kujigonga sehemu ya mwili, kuteguka kiungo fulani cha mwili n.k. Pia kuna sababu kama mtoki unaoweza kutokea sehemu mbalimbali. Wengine wataongezea sababu zao maana hata mimi nimeziacha nyingine.
Swali ni lile lile, nini kinatokea kwenye seli au tishu kinachopelekea uvimbe?
Karibuni.
Nini kinasababisha uvimbe/kuvimba(swelling). Ninahitaji kufahamu the process of swelling.
Najua zipo sababu nyingi za kuvimba, mfano kung'atwa na nyuki(mfano), kujigonga sehemu ya mwili, kuteguka kiungo fulani cha mwili n.k. Pia kuna sababu kama mtoki unaoweza kutokea sehemu mbalimbali. Wengine wataongezea sababu zao maana hata mimi nimeziacha nyingine.
Swali ni lile lile, nini kinatokea kwenye seli au tishu kinachopelekea uvimbe?
Karibuni.