Wataalamu wa Ardhi wametakiwa kuwahudumia Watanzania kwa weledi

Wataalamu wa Ardhi wametakiwa kuwahudumia Watanzania kwa weledi

Joined
May 14, 2024
Posts
94
Reaction score
75
IMG-20240813-WA0042.jpg

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amefanya kikao kazi na wataalamu wa Idara ya Maendeleo ya Makazi pamoja na Idara ya Upimaji na Ramani Agosti 13, 2024 ambacho kimefanyika Makao Makuu ya Wizara Mtumba jijini Dodoma.

Soma Pia:
Katika kikao hicho Ndejembi amewataka wataalamu wa idara hizo kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, taratibu na miongozo ya taaluma zao hatua inayowasaidia kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mipango mbalimbali ya wizara ili kuwahudumia Watanzania.
 
Back
Top Bottom