Wataalamu wa Ardhi wametakiwa kuwahudumia Watanzania kwa weledi

Joined
May 14, 2024
Posts
94
Reaction score
75

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amefanya kikao kazi na wataalamu wa Idara ya Maendeleo ya Makazi pamoja na Idara ya Upimaji na Ramani Agosti 13, 2024 ambacho kimefanyika Makao Makuu ya Wizara Mtumba jijini Dodoma.

Soma Pia:
Katika kikao hicho Ndejembi amewataka wataalamu wa idara hizo kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, taratibu na miongozo ya taaluma zao hatua inayowasaidia kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mipango mbalimbali ya wizara ili kuwahudumia Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…