Habari zenu wakuu.
Wakuu naomba kueleweshwa,
kwanini mtu ukienda sehemu wanazobadilisha pesa hapa Tanzania ukiwa na noti moja ya dola mia na ukiwa na dola mia ambayo iko kwenye noti nyingi nyingi za say dola moja moja,dola kumi au hamsini thamani yake ni ndogo kuliko ile ya dola mia iliyoko kwenye noti moja na dola mia.
Nauliza hivi kwa sababu nimeshakutana na hii kitu mara nyingi ninapobadilisha pesa,je nimekua na bahati mbaya ya kukutana na matapeli au ndivyo ilivyo?
Pili,kwanini mtu ukiwa na noti ya shilingi(madafu)iliyochanika kidogo unaweza kununua nayo kitu lakini ukiwa na noti ya dola iliyochanika kidogo wanakubali kuibadilisha lakini kwa thamani ndogo sababu imechanika.Sielewi kwanini ishuke thamani ikiwa wanaipokea.
Asanteni.
Wakuu naomba kueleweshwa,
kwanini mtu ukienda sehemu wanazobadilisha pesa hapa Tanzania ukiwa na noti moja ya dola mia na ukiwa na dola mia ambayo iko kwenye noti nyingi nyingi za say dola moja moja,dola kumi au hamsini thamani yake ni ndogo kuliko ile ya dola mia iliyoko kwenye noti moja na dola mia.
Nauliza hivi kwa sababu nimeshakutana na hii kitu mara nyingi ninapobadilisha pesa,je nimekua na bahati mbaya ya kukutana na matapeli au ndivyo ilivyo?
Pili,kwanini mtu ukiwa na noti ya shilingi(madafu)iliyochanika kidogo unaweza kununua nayo kitu lakini ukiwa na noti ya dola iliyochanika kidogo wanakubali kuibadilisha lakini kwa thamani ndogo sababu imechanika.Sielewi kwanini ishuke thamani ikiwa wanaipokea.
Asanteni.