Wataalamu wa Iphone

Wataalamu wa Iphone

long live my love

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2014
Posts
1,064
Reaction score
1,012
Wakuu Poleni na mfungo wa maombi ya kitaifa. Leo siku ya pili,na mimi sijawaangusha mana naomba haswaa. Tanzania bila corona inawezekana.

Nije kwenye mada: Nimebangaiza vijisenti kwa muda nikaona bora na mimi nijitutumue ninunue japo iphone 7 walau kubadili radha ya hizi tecno za siku zote. Sasa hapa naomba ushauri wenu wazoefu kama niagize mtandaoni au niende kariakoo?

Nimejaribu kucheki beforward nimeziona sasa sijui ubora wake ukifananisha na zile za kariakoo.
Thanks in advance.
 
Usiagize online mkuu, na kama unaenda Kkoo basi hakikisha una mtu unaefahamiana nae wa kukuuzia au kama unaeza tambua fake or OG hapo freshi
 
Usiagize online mkuu, na kama unaenda Kkoo basi hakikisha una mtu unaefahamiana nae wa kukuuzia au kama unaeza tambua fake or OG hapo freshi
Daaaa. Hapo mtihani,kwani zile za mitandaoni zina shida gani?
 
Mambo yakuzingatia
1:Hakikisha battery [emoji367] health ni [emoji817]
2:Ni lazima finger print iwe inafanya kazi
3:Hakikisha iOS iwe tayari update for new version
4:Hakikisha home batton inafanya kazi vizuri
5:Hakikisha unaangalia hiyo iPhone imetengenezwa maalumu kwa Internacional ama kwa watumiaji wa China [emoji630] ikiwa ni canada [emoji1063],Uk,USA ni sawa lkn China [emoji630] majanga
Ukizingatia hayo utakuwa umepata simu ya uhakika
N:B usipoelewa hapa usinifuate PM ,PM yangu nimeweka Barokoa


Sent using IPhone X
 
Mambo yakuzingatia
1:Hakikisha battery [emoji367] health ni [emoji817]
2:Ni lazima finger print iwe inafanya kazi
3:Hakikisha iOS iwe tayari update for new version
4:Hakikisha home batton inafanya kazi vizuri
5:Hakikisha unaangalia hiyo iPhone imetengenezwa maalumu kwa Internacional ama kwa watumiaji wa China [emoji630] ikiwa ni canada [emoji1063],Uk,USA ni sawa lkn China [emoji630] majanga
Ukizingatia hayo utakuwa umepata simu ya uhakika
N:B usipoelewa hapa usinifuate PM ,PM yangu nimeweka Barokoa


Sent using IPhone X
Nashukuru mwamba
 
Mambo yakuzingatia
1:Hakikisha battery [emoji367] health ni [emoji817]
2:Ni lazima finger print iwe inafanya kazi
3:Hakikisha iOS iwe tayari update for new version
4:Hakikisha home batton inafanya kazi vizuri
5:Hakikisha unaangalia hiyo iPhone imetengenezwa maalumu kwa Internacional ama kwa watumiaji wa China [emoji630] ikiwa ni canada [emoji1063],Uk,USA ni sawa lkn China [emoji630] majanga
Ukizingatia hayo utakuwa umepata simu ya uhakika
N:B usipoelewa hapa usinifuate PM ,PM yangu nimeweka Barokoa


Sent using IPhone X
Nashukuru mwamba
 
Nenda kwenye maduka ya I store mlimani city au mikocheni .

Binafsi naona kama hao ni uhakika kwa mtazamo wangu binafsi!

Sema tu after sales services zao ni gharama kubwa sana.

Sasa sijajua kama ni za kweli au wale wafanyakazi wao huenda wana colude na kuongeza bei ili wagawane wao.

Yani kitu kidogo tu ukienda hata kufanya updates watakwambia bei kubwa hadi ushangae!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi 8 betry percentage iwe 100% acha utapeli wa mitandaoni hivi hujaachaga utapeli??

Mkuu,
Acha hizo aisee...
Ndio maana muhusika lazima aje kuikagua. Na risiti yake ipo.... Nime screen shot hii picha saa 12:51 ...
IMG_3566.JPG
 
Mhh! Wenda ila sidhani

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio inawezekana kabisa kwa matumizi mazuri ya simu za IPhone [emoji367]healthy inaweza kushuka asilimia 3 tu kwa mwaka,na mwingine ikashuka hata asilimia 12 kwa miezi sita,mfano mimi naweza nikatumia simu mwaka mzima inashuka asilimia 1 tu,wale wazee wakutumia simu wakati amechomeka kwenye chaji ama kutumia chaji fake ndio wahanga wakubwa



Sent using IPhone X
 
Watumiaji wa IPhone ina maana hawapo? Waswahili wajuaji sana basi utupiwe Uzi wa Itel au tecno wachangiaji full kuponda umeletwa wa simu kali chali.

Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom